Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
Nimeona bandiko la member mmoja akitahadhalisha kuhusiana na Ponze Scheme moja inajiita Champions Investments ltd. Inadai ipo Mwanza. Nami nimeomba Link ya kuingia kwenye group lao.
Hawa jamaa ni matapeli. Ukiangalia Hata members wao wengi ni kutoka nchi flani flani kwa mujibu wa namba zao za simu.
Lakini pia wanajichanganya admin sometime anaandika kama member kuwa naye amepokea pesa anashukuru sana. Anapost na picha yake ya bint ili kuwavutia wadada na wakaka wakware.
Nikitizama. Naona Deci hii hapa imerudi. Naiona Kalyinda hiii hapa imerudi. Naona Watanzania Hawa Hapa wanakuja Kulia kuwa wametapeliwa. Huo uwekezaji wa kuweka 50 ukapata 100 baada ya Siku tatu ni wa Sayari Gani?
ukiweka leo 10,000,000 baada ya siku tatu unapata 20,000,000. Huu uwekezaji siyo wa Sayari hii. Serikali iwasaidie wananchi. Mkuu wa Mkoa Mwanza na RPC liangalieni hili wahusika wahojiwe.
Hawa jamaa ni matapeli. Ukiangalia Hata members wao wengi ni kutoka nchi flani flani kwa mujibu wa namba zao za simu.
Lakini pia wanajichanganya admin sometime anaandika kama member kuwa naye amepokea pesa anashukuru sana. Anapost na picha yake ya bint ili kuwavutia wadada na wakaka wakware.
Nikitizama. Naona Deci hii hapa imerudi. Naiona Kalyinda hiii hapa imerudi. Naona Watanzania Hawa Hapa wanakuja Kulia kuwa wametapeliwa. Huo uwekezaji wa kuweka 50 ukapata 100 baada ya Siku tatu ni wa Sayari Gani?
ukiweka leo 10,000,000 baada ya siku tatu unapata 20,000,000. Huu uwekezaji siyo wa Sayari hii. Serikali iwasaidie wananchi. Mkuu wa Mkoa Mwanza na RPC liangalieni hili wahusika wahojiwe.