Hivi kwann hajafichwa sura kwenye hizi mediaUyo binti ataolewa na nani ikiwa hama marinda
Umemsikiliza binti ?Mtu ameshasema alikuwa mpenzi wake sasa tukiulize imekuwaje hadi aanze kulalamika leo huyu binti kuna kitu anatuficha ,kiufupi kanatumika na maadui wa huyo mpenzi wake
Hatujajua plans zakeHivi kwann hajafichwa sura kwenye hizi media
Toa uthibitishoBila shaka anayo
Tumia akili, huyu binti songea kashamletea boda misala hii akafungwa, kaenda mwanza badala atulie asome anakuja na story hizi tena, huyu ni mfanyabiashara au kwa ufupi ni mdangaji , rc kanasa tu kwenye mtegoUmemsikiliza binti ?
Huyu ana plans kwakwel yawezekana anataka umaarufu ..au ni wale mabinti wanaochukia wanaume psychologically labda baba aliwatenda, sasa Binti kama huyu akikosewa na mwanaume Huwa ana deal na ww haijalishi mwanaume ana cheo gani , atamtikisa Hadi ashangae kwanza Hadi sasa rc haamini kinachoendelea hakutegemeaHatujajua plans zake
Wewe uliyemteua Nawanda na mtanda jiulize kama angefanyiwa Ndugu yako wa karibu ungejisikia vipi?
Najiuliza kama Nawanda angefanya haya Enzi za Rais Magufuli ingekuwa vipi?
rais hajamhukumu,bali kamuondoa kupisha uchunguzi,mara uchunguzi ukimalizika ndipo atahukumiwa au kuachiwa,kwa kutegemea huo uchunguziKwa hiyo Rais alimtengua Bw. RC kwa tuhuma?
True but sidhani kama Binti ni Chizi. Tufike mahali tuwe na utu. Angekuwa mtu wa kawaida saa hz anaongelea Segerea. Binadamu wote siyo sawa mbele ya Sheria au?Bado zitaendelea kuwa Ni tuhuma tu mpaka pale itakapothibitishwa na mahakama.
Any defendant in a criminal trial is assumed to be innocent until they have been proven guilty.
As such, a prosecutor is required to prove beyond a reasonable doubt that the person committed the crime if that person is to be convicted
Siyo rahisi hivyo. Siyo formula kwamba Kwa vile alibakwa Sasa ni ruksa kubakwa maisha yake yote. Si kigezo kwamba Kwa vile alibakwa akiwa Mtoto eti Sasa alawitiwe kabisa. Akili gani za kipuuzi hizi mnajaribu kupotosha? Mtanda awajibike Kwa kujaribu kuharibu kesi. Angekuwa binti yako ungekuja na huu utetezi mwepesi?Huyo binti ni malaya toka zamani.Huko mpanda kuna mtu kafungwa miaka mitano kisa huyo binti.Ni kamalaya malaya toka zamani.Nendeni mpanda Girl's alikosoma mtazipata taarifa zake...
Sasa hivi kamejificha Dar es Salaam,lakini pia huyo binti hana Baba ana mama yake tu...Mama yake ni muuza Cake.
Hata wenzake aliosoma nao wanasema ni Malaya toka zamani.Na hata hicho kilichotokea kwake inawezekana sio mara ya kwanza.Anavuna umalaya wa zamani.
Huyo binti ni malaya tu.Pole kwa familia ya Nawanda na wengineo wote.Tuwe na uchaguzi wa watu wa kutembea nao.Hawa watoto wa 2000 sio.Na nyie watu wazima mnaotoa hela kwa hao watoto acheni waishi kwa kuwategemea wazazi wao...
Changamoto ya nchi hii haya mambo yakitokea mwanamke analindwa ilhali ana makosa.