RC Said Mtanda wa Mwanza hastahili kuwa kiongozi wa umma kwa kutaka kuzima kesi ya Binti Tumsiime anayedai kulawitiwa na Dkt. Nawanda

Said Mtanda ni Kiongozi makini sana.
 
NI upuuzi kwa aliyoyaongea kwani huwezi kuambia vyombo vya dolar vichunguze huku wewe mwenyewe NI mwenyekiti wa vyombo hivyo /hawa wazee wanaliharibu taifa kwa kuharibu watoto wa masikini kwa kutumia madaraka waliyonayo
 
Unataka UCHUNGUZ Gani ufanyike na alishapelekwa hospital na akatibiwa na akaandikiwa dawa?? Polisi walimpeleka hospital... Report ya doctor unasemaje?? CCTV footages je?
Duh! Kwa hiyo, tuseme kuna uzembe wa kumchukulia hatua za kisheria Mtuhumiwa?
 
Ile kuwa wapenzi tu kwa muda fulani, inapoteza nguvu katika usikilizwaji; kwa sababu yanayofanyika ndani ya wapenzi mengi huwa sirini, na inawezekana wapo wengi wako kwenye mahusiano na wanafanya hivyo vitendo, na hatujasikia wakifunguliana kesi.
Angelikuwa hawako kwenye mahusiano, na alibakwa; kungekuwa na mashiko zaidi. Vinginevyo, ni kuharibiana kazi ili kufurahisha kikundi fulani.​
 
Kuwa mpenzi ndio inahalalisha kumfira hata kama kuna ridhaa, je ndio sheria zinavyotaka?

Hata mke ukimlazimisha kufanya tendo la ndoa wakati yeye hana hisia hizo na ukasababisha madhara kwake kisaikolojia anaweza kukushitaka umembaka na unatiwa hatiani.
 

tunapoelekea uchaguzi hatutakiwi kufanya matendo ya kumchafua aliyekuteua.tuage makini sana..lakini haki itendeke
 
tuweke umri unaofaa kuteuliwa na rais kwa mtumishi wa umma .maana sasa vijana wanaaibisha waliyowateua.hizi nafasi wapewe wenye umri angalau miaka 50.
 
Hakuna kesi hapo ujinga tu na kukosa kazi za kufanya
inaweza ikawa hakuna kesi lakini bado unakuwa umemchafua aliyekuteua hasa kipindi tunapoelekea uchaguzi mkuu.

sisi tulyeteuliwa na Mh RAIS tujichunge sana kipindi hichi tunapoelekea uchaguzi kama tunataka mh SSH arudi ikulu kwa amani
 
Binti naye ni Kilanga, malaya, msimbe, dada poa and the like.
Alikuwa mzinzi na msherati na huyo RC siku nyingi. To me, Yote kwa yote acha amlawiti!

She was supposed to be a good student, sasa anahangaika na wanaume anategemea nini?
mwanafunzi wa chuo kikuu ni mtu mzima ,anaruhusiwa kuwa na mpenzi au kuolewa kabisa.kwa hiyo usimtukane hivyo.
 
Kama binti alikuwa na mahusiano ya hiari na muhusika kesi itakuwa complicated sana .
Tatizo Baadhi ya mabinti wanaendekeza starehe na kusahau wazazi wao walihangaika kuwasomesha matokeo yake ndiyo hio Habari ya tusiime
 
Kama binti alikuwa na mahusiano ya hiari na muhusika kesi itakuwa complicated sana .
Tatizo Baadhi ya mabinti wanaendekeza starehe na kusahau wazazi wao walihangaika kuwasomesha matokeo yake ndiyo hio Habari ya tusiime
Hakuna 'complication' yoyote madamu mtuhumiwa anamtambua mlalamikaji na kwamba katika husika alikuwa naye na baada ya msichana huyo kulalamika na kupimwa hospitali amebainika kuchubuliwa na kitu kilichoingizwa sehemu za siri kwa nguvu katika pande zote mbele na nyuma. Mlalamikaji alitishwa na ameeleza takwa la mtuhumiwa alianza kumshawishi muda mrefu ikafikia hatua wakakwaruzana na mahusiano yakatetereka.

Msichana alipopigiwa simu na kingunge wakutane kuyamaliza yaliyopita alipoitikia wito ndipo akageukwa na mtuhumiwa akapata nafasi ya kutumia nguvu kutimiza azima yake ya muda mrefu.


Viongozi wengi wa serikali na umma wana maadili mabaya sana katika jamii sijui ni kigezo gani kinatumika kuwapendekeza kupewa dhamana ya utumishi huo.
 
Hivi ulawiti si ndiyo tabia za kishoga hizo? Mbona hawa wateule wa rais Samia wanaonekana ndiyo wenye kufanya na kutetea vitendo hivyo?

Hii nchi ina unafiki mwingi sana. Rais achukue hatua kwa viongozi wa namna hii
Ushoga nahusisha watu wa jinsia moja,hawa ni mtu mke a mtu mme
 
kiukweli, mama amshughulikie tu, watoto na wamama Mkoa wa mwanza hawana usalama mikononi mwake. yeye kama mwenyekiti wa ulinzi na usalama, atatuhakikishia vipi kwamba watoto na mabinti watakuwa salama mikononi mwake? na, angekuwa amelawitiwa binti yake anayesoma chuo, angeficha? na, kwani anafikiri watu hawawajui watoto wake? watoto wake hawatongozeki, ajue akimlinda mtoto wa mwenzake na wa kwake atalindwa na wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…