Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Anamringi Macha amewaonya wanawake wa Wilaya ya Msalala kukopa mikopo ya kausha damu badala yake ya asilimia 10 inayotolewa na halmashauri kwa wanawake, vijana na watu wenye walemavu.
Macha ameyasema hayo katika kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambayo kimkoa yamefanyika leo Alhamisi Machi 6, 2025 kwenye Kata ya Bugarama, Halmashauri ya Wilaya ya Msalala.
Soma Pia: DAS Kahama: Wanawake acheni mikopo ya kausha damu chukueni mikopo ya Samia
"Hapa niwatake wanawake kuchangamkia fursa za mikopo isiyo na riba inayotolewa na halmashauri ikiwa na lengo la kuwainua kiuchumi kuliko kukimbilia mikopo ya kausha damu inayotolewa kwa masharti magumu pamoja na riba kubwa inayowadidimiza kiuchumi,"amesema Macha.
Macha ameyasema hayo katika kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambayo kimkoa yamefanyika leo Alhamisi Machi 6, 2025 kwenye Kata ya Bugarama, Halmashauri ya Wilaya ya Msalala.
Soma Pia: DAS Kahama: Wanawake acheni mikopo ya kausha damu chukueni mikopo ya Samia
"Hapa niwatake wanawake kuchangamkia fursa za mikopo isiyo na riba inayotolewa na halmashauri ikiwa na lengo la kuwainua kiuchumi kuliko kukimbilia mikopo ya kausha damu inayotolewa kwa masharti magumu pamoja na riba kubwa inayowadidimiza kiuchumi,"amesema Macha.