Mkuu wa mkoa wa Simiyu Kenani Kihongosi akimueleza Meneja wa Tanroad Mkoa wa Simiyu Kusimamia Mradi na ukamilike kwa muda na kuzingatia Viwango na Ubora wa Mradi huo.
Pia Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Kenani, akiwaasa Wananchi kutunza na kulinda Mradi huo kwani ni Mali yao,Pia amewasisitiza kizidi kushirikiana na Serikali katika kuleta Maendeleo katika Mkoa wa Simiyu.
Kihongosi amemshukuru Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa fedha nyingi za miradi ya Maemdeleo Mkoani Simiyu
Mkuu wa Mkoa amesema hatosita kuchukua hatua endapo kutakuwa na uzembe na ucheleweshwaji wa Mradi huo.