JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, RC. Dendego amesema tukio limetokea Novemba 10 mwaka huu saa moja jioni, ambapo watu hao walikuwa wakimlazimisha mtendaji huyo kutoa nyaraka za serikali.
Chanzo: Azam TV