RC Tabora aagiza kuwakamatwa Wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu waliovamia eneo la Machimbo ya dhahabu ya kikundi cha Wanawake cha Mkombozi

RC Tabora aagiza kuwakamatwa Wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu waliovamia eneo la Machimbo ya dhahabu ya kikundi cha Wanawake cha Mkombozi

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Mkuu wa mkoa wa Tabora Paul Chacha ameliagiza Jeshi la Polisi wilayani Nzega kuwakamatwa Wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu waliovamia eneo la Machimbo ya dhahabu ya kikundi cha Wanawake kinachojulikana kwa jina la Mkombozi ambacho kina leseni halali ambayo imetolewa kwa ajili ya kikundi hicho cha Wanawake ambao wanajishughulisha na uchimbaji wa madini ya dhahabu.

 
Mkuu wa mkoa wa Tabora Paul Chacha ameliagiza Jeshi la Polisi wilayani Nzega kuwakamatwa Wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu waliovamia eneo la Machimbo ya dhahabu ya kikundi cha Wanawake kinachojulikana kwa jina la Mkombozi ambacho kina leseni halali ambayo imetolewa kwa ajili ya kikundi hicho cha Wanawake ambao wanajishughulisha na uchimbaji wa madini ya dhahabu.

View attachment 3242707
Mwenyezi mungu alivyomuumba mwanadamu,aligawa na majukumu,ya mwanamke na pia ya mwanaume,mwanamke hawezi ya mwanaume na pia mwanaume hawezi ya mwanamke,nashangaa Sana kuwaona wanawake,kazi ngumu wanavyozipigania,Kama maroli hata ndege wanaendesha,na sisi wanaume tufanye kazi gani,wanajiumiza wenyewe
 
Mkuu wa mkoa wa Tabora Paul Chacha ameliagiza Jeshi la Polisi wilayani Nzega kuwakamatwa Wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu waliovamia eneo la Machimbo ya dhahabu ya kikundi cha Wanawake kinachojulikana kwa jina la Mkombozi ambacho kina leseni halali ambayo imetolewa kwa ajili ya kikundi hicho cha Wanawake ambao wanajishughulisha na uchimbaji wa madini ya dhahabu.

View attachment 3242707
Nimemkumbuka mzee wa "sukuma ndani"
 
Mwenyezi mungu alivyomuumba mwanadamu,aligawa na majukumu,ya mwanamke na pia ya mwanaume,mwanamke hawezi ya mwanaume na pia mwanaume hawezi ya mwanamke,nashangaa Sana kuwaona wanawake,kazi ngumu wanavyozipigania,Kama maroli hata ndege wanaendesha,na sisi wanaume tufanye kazi gani,wanajiumiza wenyewe
Yote chanzo ni kuletwa makaratasi yanayoitwa "Pesa" tukiweza kueliminate pesa kwenye maisha ya binadamu kila mtu ataishi peacefully.
 
Back
Top Bottom