RC wa Dar ' Comrade ' wangu Amos Makalla jiangalie sana Suala la ' Wamachinga ' linaenda ' Kukufyeka ' usipoachana nalo

RC wa Dar ' Comrade ' wangu Amos Makalla jiangalie sana Suala la ' Wamachinga ' linaenda ' Kukufyeka ' usipoachana nalo

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kamarada (Comrade) wangu mkubwa wa Simba SC na ' Misebene ' ya Wenge Musica BCBG RC wa Dar es Salaam Ndugu Amos Makalla jiangalie sana kwani unaweza ' Kufyekwa ' muda wowote.

RC wa Dar Amos Makalla huu ' Mkakati ' ambao nasikia umeuanza hasa wa Kuwapangia na Kuwaondoa ' Wamachinga ' maeneo yao tayari umeshamuudhi Mama (Mheshimiwa) na sasa anasubiri ujae tu vizuri katika ' Frame ' yake na akuondoe rasmi.

Kwakuwa Wewe ni mwana Simba SC na mwana Wenge Musica BCBG Mwenzangu na nakupenda basi leo GENTAMYCINE nakuambia kuwa achana upesi na huo ' Mkakati ' unaoupanga wa ' Wamachinga ' bali shirikiana nao vizuri kwani hakuna Watu ambao Mama ( Mheshimiwa ) anawapenda kama hao.

Usichokijua tu ni kwamba Mama (Mheshimiwa) alipoingia ' Wamachinga ' walianza Kutomkubali ( na GENTAMYCINE ) nililianzishia Uzi hapa JamiiForums hivyo Mama nae baada ya Kujiridhisha kuwa hakubaliki na ' Wamachinga ' sasa amebadilika na kuanza Kuwapenda ili Kuwateka Akili na taratibu nao sasa wanaanza Kumkubali Mama.

RC wa Dar Amos Makalla jua ya kwamba Mama (Mheshimiwa) nae baada ya Kuuonja ' Utamu ' wa Ikulu na Yeye sasa anataka Kugombea Urais 2025 hivyo ameshajua kuwa Mitaji yake Mikuu ni Kuteka Akili za Wanawake (Wapiga Kura wazuri), Wamachinga na Vijana hivyo ukitaka tu Mama ' akufyeke ' katika ' Uteuzi ' cheza na ' Interests ' za haya Makundi.

RC wa Dar es Salaam Amos Makalla ungekuwa ni Mtu wa Yanga SC wala nisingehangaika Kukuambia haya na ningeacha tu Uharibikiwe na Mama (Rais) akutumbue ila kwakuwa ni ' Kamarada ' wangu wa Simba SC na Wenge Musica BCBG nimeona nikuambie ili Ujjrekebishe na usije ' ukafyekwa ' bure kama wa Morogoro na wa Mwanza.
 
Machinga waondolewe haraka Sana tena faster as possible , wapelekwe maeneo sahihi ya kimachinga , wameziba bara bara , wameziba frem za watu .... Kwanza machinga kazi yake ni kutembea huko na huko na sio kujibanza , fukuzaaaaaaa ....!!! Mabomu yapo ya kutosha na risasi zipo za kutosha ....no wastage of time .... Jiwe aliharibu Sana hiki kizazi
 
Miji imeharibika sana, kila sehemu ukienda pako tu shaghalabaghala!! Grrrrr!!! Maeneo yaliyovutia na kupangika vzr sasa hv kama vile tu sijui umefika wapi☹️

Kuwe na maeneo maalum kabisa ya wamachinga, mtu akitaka vitu anaenda kununua huko!
 
Wamachinga wapangiwe maeneo ya kufanya biashara zao, kuendelea kuogopa kuwaondoa kwa kisingizio cha mtaji wa wapiga kura wakati uwepo wao kila mahali unaleta usumbufu kwa wengine ni sawa na kutowaheshimu wapiga kura wengine, machinga hawana immunity yoyote tofauti na wapiga kura wengine.
 
Fukuzia mbali machinga wadio wastaarabu,panga maeneo mazuri kwa ajili yao,waelekeze huko,wakibaki kwenye lami nawakanyaga na gari,akyamungu sitanii,mmoja yupo hosp tayari.
Chi,,zi wewe, unavuta bangi inakimbilia kwenye masaburi yako
 
Wamchinga lazima wawe controlled kwani kadiri wanavyoongezeka ndivyo tatizo litavyozidi. Miaka itafika jiji halitakuwa jiji bali fujo, biashara haitakuwa biaashara bali uwanja wa fisi; barabara hazitakuwa barabara bali ulingo wa ndondi.

Tumsaidie Makala ili aende vizuri kwa umakini.
 
Back
Top Bottom