RC wa Kagera Apiga Marufuku Kuishangilia Simba

Kinyume chake, sasa tutaishangilia sana Simba kuliko tulivyotaka kufanya. Yeye RC ni nani na anatekeleza kifungu kipi cha sheria kuwakataza wananchi kushangilia? Mambo mengine ni kujivunjia heshima kiholela kabisa.
Sifa za kijinga tu anajitafutia. Mimi nitaishangilia Simba nione atanifanya nini.
 
Kinyume chake, sasa tutaishangilia sana Simba kuliko tulivyotaka kufanya. Yeye RC ni nani na anatekeleza kifungu kipi cha sheria kuwakataza wananchi kushangilia? Mambo mengine ni kujivunjia heshima kiholela kabisa.
Military mentality. Anafikiria bado yupo barracks, as a senior military officer, na wote anao waona mbele yake ni NCO s.
 
Hakika Mkuu wa Mkoa amevuna alichopanda,kumbuka Simba ni Mabingwa wa Taifa hili wakiwemo na wana kagera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…