Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Chuki iko wapi hapo? Kueleza ukweli ulivyo ni chuki? Au ulitaka ampe sifa za uongo asizostahili?Usihishi na chuki kisa siasa Samehe move on
...Hakuna chuki hapo-hawa jamaa ni waonevu sana. Acha akajibu uovu wake mbele ya aliyemuumba.Usihishi na chuki kisa siasa Samehe move on
Kisasi ni haki na lazima.Usihishi na chuki kisa siasa Samehe move on
Mtu kuweka kumbukumbu ndiyo chuki? Watu wanakumbushwa kutenda haki ufe vizuriUsihishi na chuki kisa siasa Samehe move on
Mbona una makarisiko. Kwani kakataa kuwa hatakufa?Ata ww pia utakufa
Atakufa kwa amani, sio kifo cha mateso kama cha yule fascist JiweAta ww pia utakufa
Marehemu hasemwi vibaya. Apumzike kwa amani, AminaView attachment 2532832
Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi imeeleza kwamba Ofisa huyo amefariki Dunia .
Kwa wenye kumbukumbu nzuri huyu ndio yule ofisa wa polisi aliyehakikisha kwamba viongozi wa Chadema wanaokamatwa Dodoma hawapewi dhamana .
Miongoni mwa wahanga wa karibu ni Twaha Mwaipaya , ambaye hata ndugu zake walikatazwa kumpelekea Chakula .
Apumzike kwa Amani , Amina
Sio rahisi kiasi hichoUsihishi na chuki kisa siasa Samehe move on
Dunia hii tuikanyage taratibu jamaniSasa zimekufnya uwe mpumbavu sana wewe mwanamke,sasa kifo cha mtu nichakufurahia kwa masrahi yako ya siasa?
Kwasababu Askari wa tz wanaamini kwamba ukiwatesa chadema utapandishwa cheo.Lazima muingize chadema