Mpaka kesho jiwe anapopolewa. Itakuwa huyo anayetumwa_tumwa.Hili pumbavu mtu kajifia zake huko badala kumuombea kheri ya kuzimu linaleta mambo ya Chadema tena.
Inahusiana nini na kifo chake we mtu wa ajabu kabisa
Huyo atakuwa "mungu". Tena uchwara kabisa. Anayeruhusu Wazanzibar wapigwe na kuuawa kwa sababu ya ccm kubaki madarakani visiwani.Huu u-CHADEMA wenu ndiyo ule utakawaofanya Mungu asithubutu kabisa kuwapa nchi hii hata siku moja; kwa sababu mnamkufuru sana Mungu
Kumbukeni kuwa anayetoa Nchi ni Mungu, na si wanachama wa CHADEMA au CCM
umefika uko tenaChadema vichwani ni upopo sana Leo nimemsikiliza Lema DW Swahili dah hovyo kabisa
utasemwa vizuli kama uliishi vizuliMarehemu hasemwi vibaya. Apumzike kwa amani, Amina
Atajiunga na jeshi la Magufuli huko motoni
Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi imeeleza kwamba Ofisa huyo amefariki Dunia.
Kwa wenye kumbukumbu nzuri huyu ndio yule ofisa wa polisi aliyehakikisha kwamba viongozi wa Chadema wanaokamatwa Dodoma hawapewi dhamana.
Miongoni mwa wahanga wa karibu ni Twaha Mwaipaya, ambaye hata ndugu zake walikatazwa kumpelekea Chakula.
Apumzike kwa Amani, Amina
Umeona sasa,mazuri hayakosekaniPamoja na mapungufu yake,walau ninalo zuri la kusema juu yake.Mwaka 2013 aliniokoa,yeye na wenzake kwenye hatari ambayo ingeondoa uhai wangu .Nilikuwa kazini,ukaibuka mgomo nikapiga simu,dakika kumi na tano tu yeye na wenzake kama kumi hivi wameshafika.walitawanya watu kwa mabomu ya machozi na Amani ikarejea.MWENYEZI MUNGU AKUWEKE MAHALI PEMA PEPONI,PUMZIKA KWA AMANI KAMANDA.
Unaandika kama wewe utaishi milele hongera sana wewe utaishi milele .
Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi imeeleza kwamba Ofisa huyo amefariki Dunia.
Kwa wenye kumbukumbu nzuri huyu ndio yule ofisa wa polisi aliyehakikisha kwamba viongozi wa Chadema wanaokamatwa Dodoma hawapewi dhamana.
Miongoni mwa wahanga wa karibu ni Twaha Mwaipaya, ambaye hata ndugu zake walikatazwa kumpelekea Chakula.
Apumzike kwa Amani, Amina
Kwa mujibu wa dini yangu, kama hukuchuma amali njema wakati wa uhai wako basi ukifa adhabu inaanzia kaburini na baadae moto wa milele.Wewe hutaenda huko? Ni nani aliwaambia kifo ni adhabu?
Hata Agakhan Dar, kuna jamaa zangu 2 wamufumua kichwa wakafanya yao madaktari baadae wakarudishia jamaa Mpaka leo wako fresh wanadunda..Unapasuliwa kichwa Benjamini Mkapa? Angeenda Appolo India haya mnayoongea leo yasingekuqepo.
Mungu anasema muibe kura? Really??Huu u-CHADEMA wenu ndiyo ule utakawaofanya Mungu asithubutu kabisa kuwapa nchi hii hata siku moja; kwa sababu mnamkufuru sana Mungu
Kumbukeni kuwa anayetoa Nchi ni Mungu, na si wanachama wa CHADEMA au CCM
Mtu aliyekufa haombewi kheri. Matendo yake ndiyo yatakuhukumu. Ukiwa mzima, ushindwe kutenda mema ila ukifa ndiyo uombewe kheri kwa misingi ipi?Hili pumbavu mtu kajifia zake huko badala kumuombea kheri ya kuzimu linaleta mambo ya Chadema tena.
Inahusiana nini na kifo chake we mtu wa ajabu kabisa
Lazima muingize chadema
Hata wewe pia utakufa