Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #121
Mimi nimetoa taarifa tu , sasa hayo mengine unaleta weweStatement zako zinaonyesha tu kuwa mtu anayekufa Kuna kitu amekosea.Na kwamba kwann anakufa?This is my accurate analysis of your statement regarding the death of the RCO.
Wajibu gani wa kutesa watu wasio na hatia pumbaffUnapoandika na kutia chokochoka as if na ww hutokufa!!??
Huyu askari alikuwa anatekeleza wajibu wake.
Pumbaf Baba yako. Watu wamepema wajibu wa kunyonga sembuse kutesaWajibu gani wa kutesa watu wasio na hatia pumbaff
Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi imeeleza kwamba Ofisa huyo amefariki Dunia.
Kwa wenye kumbukumbu nzuri huyu ndio yule ofisa wa polisi aliyehakikisha kwamba viongozi wa Chadema wanaokamatwa Dodoma hawapewi dhamana.
Miongoni mwa wahanga wa karibu ni Twaha Mwaipaya, ambaye hata ndugu zake walikatazwa kumpelekea Chakula.
Apumzike kwa Amani, Amina
HapanaKwa hiyo in other words unatuambia amekufa sbb akiwakamata viongozi wa Chadema hatoi dhamana?
Wapi nilipofurahia ?Halafu ndio chadema wanamezea mate kuongoza nchi.
Mimi nilijitoa kushabikia chama, nashabikia mtu na uwezo wake wa kiakili haijalishi chama chake kwa maslahi ya jamii na nchi.
Sasa hawa chadema wananyoshea watu vidole ilihal wao ndio wameoza l, watesaji, walafi wa madaraka na asali,
Wanafurahia kila msiba unapotokea, yan mwenzio kafa unafurahia??
Bora yeye kafa na kuzikwa na ndugu zake, hujui wewe utaondokajw hapa duniani.
Usijifiche kwenye kivuli cha upinzani kuonesha roho mbaya, ukiwa upinzani tu naona ni lazima uwe na roho mbaya kwanza na utu ziro