Hizo dawa sidhani kama zipo Tz. Ni dawa zinazotibu na kukinga malaria na zinaongoza kwa kuwa na profile nzuri ya side effect (almost nil). As such zimekuwa dawa za bei mbaya mno na hata Marekani na Canada haziuziki kwa ajali ya ughali. Dozi ya mwezi moja (kidonge kwa siku) ni $70, Canada miaka 3 iliyopita. Generic drugs ndio zinatumika instead.