RE:Bsc PROPERTY AND FACILITIES MANAGEMENT.

Da vincci

Member
Joined
Aug 9, 2009
Posts
61
Reaction score
9
WanaJF naomba kuuliza juu ya hiyo kozi tajwa hapo juu itolewayo na ARDHI UNIVERSITY.Ningependa kwa yeyote mwenye uelewa zaidi na kozi hii anisaidie kujua kwa hapa Tanzania ina inauhitaji wa kiasi gani ktk soko la ajira,faida zake,hasara,mishahara yake nk.Unaweza kum recommend mtu akaisome?
 
fahamu vizuri juu ya hiyo BSc. Ila mimi nimesoma MSc in FAcilities Management itolewayo na Leeds University, it is a good and useful course and pays, kwa hiyo kama umepata iko sawa cha muhimu ni kukaza buti sio unatoka na Gentleman degree halafu unalaumu hamna kazi.
 
1. Property management course inadeal na landed property. Yaani majengo. Ukifaulu unaweza kuajiriwa kama Estates Manager A.k.a property manager. Unaweza kuajiriwa kwenye makampuni au mashirika yenye nyumba mfano NHC , PPF, NBC, hata muhimbili hospital.Au unaweza kufungua kampuni yako ukawa unatoa huduma hiyo kwa contract.(Outsourcing concept). hii ina maana kuwa shirika au kampuni inaingia mkataba na wewe umanage majengo yao . To manage property involves several duties few of them are , maintenance, leasing ie. looking for tenants, renting out the properties, collecting rent and solving tenants endless problems etc etc . In short its a too involving job where you interact with varying calibers of people as tenants and varying management teams of various organization you may be working with. Eventually you find yourself dealing with buildings, and lives of people meaning shelter as a necessary human requirement with business in mind (profit)

2.Katika property management kuna mambo ambayo ukiacha majengo utakutana nayo na ili uweze kukabilina nayo unapaswa kujua facilites management . Hii ni mwendelezo wa property management kwa maana ya majengo ukijumlisha soft servises kama vile mazingira, utilities like power and water, procurement of various goods and services, management of human resources in the organizations departmental and property department in particular, managing contracts, eg cleaning contracts etc etc .Ndio maana inaitwa Property and facilities management.

3. Course hii inamjenga mwanafunzi katika nyanja nyingi sana .Economics, laws, valuation, environmental, ITC , etc. Zaidi sana inamjenga mtu kuwa mjasiriamali wa ukweli maana yote utakayofanya ni bussiness orieted kwa maana ya kufanya shirika au kampuni itengeneze faida na iendelee kuwepo.

4. Kama kuna course nzuri hii ni mojawapo .wala usihofu kurecommend kwa yoyote. Ila masomo yake sio marahisi hata kidogo na nafasi za chuo ni chache maana hutolewa na chuo kimoja tuu Tanzania nacho ni Ardhi .Ukitaka maelezo zaidi ni PM au nenda ARU, Lands Department kama uko Dar.
 
kwa Ulimwengu huu tuliopo hakuna kozi ya ARU isiyolipa!!
Dive Head first!!:dance:
 
Kila napokua JF najihisi kama nipo nyumbani..i dont know what to say zaidi ya thank u very much indeed..yani haswa umenijibu na kunisaidia vya kutosha..God bless u brother..am goin to take it..
 
Kila napokua JF najihisi kama nipo nyumbani..i dont know what to say zaidi ya thank u very much indeed..yani haswa umenijibu na kunisaidia vya kutosha..God bless u brother..am goin to take it..

Any thing you did not understand come back to me. Jifunze kupm mdogo wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…