B braity JF-Expert Member Joined May 24, 2020 Posts 366 Reaction score 478 May 1, 2024 #1 Hello wajumbe wa huu uzi Kama kichwa kisemavyo, tumezoea kuona kila mwaka serikali inawafanyia recategorisation watumishi hasa waliojiendeleza kielemu. Hili suala kwa mwaka huu 2024 halijazungumziwa kabisa. Je ni kwamba litakuwa halipo kabisa ?
Hello wajumbe wa huu uzi Kama kichwa kisemavyo, tumezoea kuona kila mwaka serikali inawafanyia recategorisation watumishi hasa waliojiendeleza kielemu. Hili suala kwa mwaka huu 2024 halijazungumziwa kabisa. Je ni kwamba litakuwa halipo kabisa ?
copyright JF-Expert Member Joined Oct 9, 2014 Posts 584 Reaction score 584 May 1, 2024 #2 Maza kashaanza kutuchoka watumishi, ila wacha maHROs waje watupe majibu
B braity JF-Expert Member Joined May 24, 2020 Posts 366 Reaction score 478 May 1, 2024 Thread starter #3 Na bila shaka na watumishi watamchoka tu muda si mrefu, amekuwa mswahili mno
Moisemusajiografii JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 43,960 Reaction score 77,533 May 1, 2024 #4 braity said: Na bila shaka na watumishi watamchoka tu muda si mrefu, amekuwa mswahili mno Click to expand... Akianza kupata upinzani/kukosolewa hadharani na wasomi/watumishi asilalamike tu.
braity said: Na bila shaka na watumishi watamchoka tu muda si mrefu, amekuwa mswahili mno Click to expand... Akianza kupata upinzani/kukosolewa hadharani na wasomi/watumishi asilalamike tu.