Re: Habari Zenu wake kwa waume!

Re: Habari Zenu wake kwa waume!

Demarco

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2013
Posts
546
Reaction score
222
Nawasalimu Waungwana,


Dhumini ya bandiko hili ni kuwajulisha ya kuwa nitakuwa nanyi katika forum hii
Natumai ushirikiano wenu wenye tija katika majadiriano ya hapa na pale.


Wenu katika ujenzi wa Taifa,

Demarco
 
Nawasalimu Waungwana,


Dhumini lang ni kuwajulisha ya kuwa nitakuwa nanyi katika forum hii
Natumai ushirikiano wenu wenye tija katika majadiriano ya hapa na pale.


Wenu katika maendeleo ya nchi

Ambumbulwisye[/QUOTE]
 
Nawasalimu Waungwana,


Dhumini ya bandiko hili ni kuwajulisha ya kuwa nitakuwa nanyi katika forum hii
Natumai ushirikiano wenu wenye tija katika majadiriano ya hapa na pale.


Wenu katika ujenzi wa Taifa,

Demarco

Karibu JF Demarco.
 
Last edited by a moderator:
Nawasalimu Waungwana,


Dhumini lang ni kuwajulisha ya kuwa nitakuwa nanyi katika forum hii
Natumai ushirikiano wenu wenye tija katika majadiriano ya hapa na pale.


Wenu katika maendeleo ya nchi

Ambumbulwisye
[/QUOTE]

Mbona unatuchanganya!!! Una ID ngapi?
 
Globu,

Kama swali lako limeelekezwa kwangu na kama nimekuelewa ,Nadhani Ambumbulwisye ameni quote ....
 
Karibu sana JF...wewe na ID yako nyingine
 
Ok. nimekuelewa, lakini nina wasiwasi.........

Hello Globu,


Wasiwasi ni kitu kizuri hasa ukiwa na fact ukiufanyia kazi na kutoa mashaka yanayojiri (hata mimi ningetilia mashaka pia),lakini wasiwasi usikutawale ...kila kitu kwa kiasi.

Kwa mkanganyiko uliotokea sina jinsi yengine ya kuelezea zaidi ya hiyo...zaidi ya ww ku keep your eyes open and watch ,au MODERATOR anaweza kusaidia not so sure

Notabene:Too much wasiwasi with no fact lead to Paranoia......
 
Back
Top Bottom