Re- introduction

agsam878

Member
Joined
Dec 21, 2013
Posts
22
Reaction score
10
Me ndo kwanza nimejiunga sijaijua vizuri hi jamii tupeane kampani basi
 
Ewaaaaaaaaaaaa........
Karibu sana JF.....
 
Nilianza nanyi miaka mingi kisha nikapotea kidogo hivyo naamini mimi si mgeni sana katika chombo chetu hiki ... Hata hivyo nataka kujua pa kuanzia!
 
Nilianza nanyi miaka mingi kisha nikapotea kidogo hivyo naamini mimi si mgeni sana katika chombo chetu hiki ... Hata hivyo nataka kujua pa kuanzia!
Karibu sana naona umeanza vizuri hii inaonesha wewe ni mwenyeji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…