Mbu tena? lol :lol::lol::lol::lol:😛oaje chumba chenye mmbu?
je chumba chenye mmbu?
si kadai kusiwe na kiumbe yeyote jamani?Mbu tena? lol :lol::lol::lol::lol:😛oa
hapo ruksa kudinginyana mdada
Ukitaka kujua kuwa kufanya hivyo ni haikubaliki, basi soma saikolojia yako mwenyewe wakati unafanya tendo mbele ya mtoto (hata akiwa mchanga wa siku 10)...Utagundua wazi kuwa stimu inapotea kiaina...
Paka ni mwerevu kuliko sisi!...Hafanyi mapenzi mbele ya macho ya mnyama yeyote zaidi ya mkewe!....huh!
je chumba chenye mmbu?
si kadai kusiwe na kiumbe yeyote jamani?
je chumba chenye mmbu?
View attachment 43857
Huyu sidhani kama ana muda na kitakachokuwa kinaendelea,,akishajifaidia tu anatambaa zake,, na raha zaidi mkiwa kwenye game hamuwezi hata kumsikia!!
KWELI HESHIMA YA JAMII FORUMS INAZIDI KUSHUKA. GREATTHINKER HAJUI TOFAUTI YA MNYAMA NA MDUDU? Ni aibu iliyoje jamani
ukitaka kujua kuwa kufanya hivyo ni haikubaliki, basi soma saikolojia yako mwenyewe wakati unafanya tendo mbele ya mtoto (hata akiwa mchanga wa siku 10)...utagundua wazi kuwa stimu inapotea kiaina...
paka ni mwerevu kuliko sisi!...hafanyi mapenzi mbele ya macho ya mnyama yeyote zaidi ya mkewe!....huh!