Mh jf haiishi vituko
Kila nikijamba lazima harufu mbaya itoke, hii inasababishwa na nini, na vijambo vyote huwa ni usiku nikiwa nimelalaa au karibia kulala
, kasheshe ni pale nipo na mchumba wangu yaani ntamjambia weeeeeee mpka naogopa, nahisi namkera sana,
nifanyeje kupunguza kujamba au hata nikijamba visitoe harufu
Hili tatizo si lako tu, Madem wenggi humu JF wana tatizo kama lako. Acha kutumia kilevi kama bia.
JF ni zaidi ya sosho netiweki-Mwakalinga
Toa tiba King karibia ntaachika sababu ya kujamba,na vina harufu mbaya sana
we inaonekana hunywi dawa za minyoo halaf unapenda sana mikachumbari..sasa bila shaka huko kwenye masaburi kuko wet sana?? yani unyevu nyevu?? basi ni minyoo hiyoo..mtu unajamba kwa biti ..ha ha jaman jf NOMAAA nimepigwa ban lakini hii ni fake account mana siwez kuvumilia kukaa bila kuingia humu..eti najamba
weeeeeeeeeeeeee...kah
Hiyo chupi ina uhai ama ndo iko kama hivi?
View attachment 43859
Daa kwa hiyo inabidi nikapime nina aina gani ya minyoo au hata nikienda kwa chemist kununua deworms inatosha