Kwa wale walioko kweny ndoa na wanaotarajia kuoa na kuolewa naomben mkatafute kitabu kiitwacho GOD'S MASTER PLAN FOR MARRIAGE by STEPHEN&GEORGINA ADEI. Ni kitabu kizur sna, wameelezea hatua ya kwanza mpaka mwisho kuhusu maisha ya ndoa! Au kwa wale waliopo Arsh, ntafuteni kwa sm yangu 0658 950 264, nitapawatia copy yake bure! Npo chuo kikuu cha Tumaini, Makumira.