Re:maulizo kuhusu uwezekano wa kuhama chuo

Re:maulizo kuhusu uwezekano wa kuhama chuo

Da vincci

Member
Joined
Aug 9, 2009
Posts
61
Reaction score
9
Wanajamii naomba kuuliza kwa mtu yeyote mwenye maarifa na kujua hatua za kuhama chuo..Mfano sasa hivi TCU wamekuchagua lets say Ardhi university then wewe ktk prefarance zako ulikua unataka UDOM....qualifications za kwenda huko unazo..je kuna hatua gani unapitia?niko desparate kujua naona mda unayoyoma..
 
Da vincci!! Pole sana kwa usumbufu ulioupata. Lakini kwa bahati mbaya, uendeshaji wa vyuo vikuu upo tofauti, kila chuo kikuu ni taasisi inayojiendesha independently. Kinachowezekana ni kubadilisha kozi ndani ya chuo kimoja na sio kuhama kutoka chuo kimoja kwenda chuo kingine.

Hivyo basi, inawezekana unazosifa za kusoma chuo ulichokuwa unakitaka ila katika kufanya choices ulikosea ukachagua kozi yenye competition. So cha kufanya ni kwenda kwenye chuo ulichochaguliwa, kama wanakozi unayoipenda kajarbu kubadilisha. kama hawana soma hiyohiyo uliyopata kwani ni lazima uliichagua hata kama chaguo la tatu.
 
umepata chuo gani?kama ni udsm utapata urahisi kidogo mfano unataka kuhamia udom unachotakiwa kufanya ni kuandika barua kwa dean of facult kuomba transfer then akiisain unaipeleka kwa director of undergraduate studies ikisainiwa unaipeleka chuo unachohamia for mor processes utajua mbele ya safari
 
Back
Top Bottom