Bia batta
Member
- Aug 18, 2015
- 66
- 34
Nani alikuwepo pale TAM ZEE enzi ya huyo mzee kipindi ndio head master..!!?? kuna mikasa tulikutana nayo ikiwemo mimi mwenyewe kukimbizwa toka ofisini kwake mpaka navuka barabara ya umoja wa mataifa pale upanga kwa kosa la kibwege kabisa kipindi niko form five, tena jamaa wa form six walikuwa wanafanya Mock exam, ilibidi wa-lose concetration ya mtihani kwa muda na kuanza kuangalia nini kinajiri nje...!!!