kweli wewe domo zege.sasa hata mkitongazana kwa pm si kuna vitu vingine kuvifanya itabidi muonane?sasa kama hata kumface umpendae hapo ulipo unaogopa unafikiri itakuaje?hata nashindwa nikusaidieje.jitahidi kutafuta kwa macho au unataka mwanajf.Mungu akusaidie ufanikiwe hitaji lako.mia