Wana Jf
Kwanza niwapeni pole wadau wote na wanaharakati kwa yote yaliyotokea huko Ar.
Kwa habari za kuaminika nilizopata jioni hii ni kuwa Prof Shivji atatoa mhadhara juu ya Tafakuri juu ya mchakato wa utungaji wa katiba mpya nchini Tanzania. leo Alhamisi kuanzia saa 3 usiku.
Mhadhara huo umeandaliwa na serikali ya wanafunzi college of education (UDOCE).
QED
Kwanza niwapeni pole wadau wote na wanaharakati kwa yote yaliyotokea huko Ar.
Kwa habari za kuaminika nilizopata jioni hii ni kuwa Prof Shivji atatoa mhadhara juu ya Tafakuri juu ya mchakato wa utungaji wa katiba mpya nchini Tanzania. leo Alhamisi kuanzia saa 3 usiku.
Mhadhara huo umeandaliwa na serikali ya wanafunzi college of education (UDOCE).
QED