BUBE
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 845
- 254
Ndugu wadau na wanajamvi. Hii imekaaje? Sheria ya fedha ya mwaka 2013 ina kipengele cha Excise Duty. Baadhi yetu tumetaarifiwa kuwa kuanzia sasa benki zitakuwa zinakusanya 0.15% kama Excise duty kwa hela zote zinazopitia bank. Kitu ambacho hatujafafanuliwa ni je:
Pia wenye habari zinazohusiana na hizi kuhusu kifungu hiki, ambacho ni applicable tangu mwezi July mwaka huu watujuze
Samahani kwa kuchanganya lugha!
- Hii Excise Duty inahusu hadi mishahara? Na kama mishahara inahusika si tayari huu utakuwa ni kum-double tax mtu ambaye tayari kalipa PAYEE tayari?
- Witthholding tax? Kawaida hii ni 10%. Je hii pia kwa watu wanaotoa huduma kama washauri waelekezi watakatwa pia kiasi hiki wakati tayari wanakatwa hiyo withholding tax?
- Fedha zozote pamoja na karo za wanafunzi? Je hii ina maana karo itaongezeka ama mzigo ataubeba mmiliki wa shule?
Pia wenye habari zinazohusiana na hizi kuhusu kifungu hiki, ambacho ni applicable tangu mwezi July mwaka huu watujuze
Samahani kwa kuchanganya lugha!