Re: tumsaidieni dada huyu!!!!

Re: tumsaidieni dada huyu!!!!

kokusiima

Member
Joined
Sep 19, 2011
Posts
11
Reaction score
3
hivi ujauzito wa mwezi mmoja unaonekana ukipima urine au pregnancy test? rafiki yangu anauliza huvo tumsaidieni wana jf
 
U dont need all a month long.
Only two weeks is enough for Urine Test, and ONE week for Blood Test!!
 
ndio hata ukitaka kujua ni jinsia gani
 
Pregnancy test aren't 100% sure but there are little chances for them to be wrong. If you wanna be sure tell her to go and make a blood analysis and the result will be certain.
 
ndio hata ukitaka kujua ni jinsia gani
Swali lake siyo hilo!
Kama ni ujauzito ambao una bad story behind, then jinsia will be the last thing she would like to know!
 
Mwambie aache Ngono Zembe! UKIMWI unaua na umeshaua watu wengi!
 
Samahani uwa sitoi ushauri wa watu wanaosema rafiki yangu oh dada yangu au mshikaji wangu,sorry for dat,next time mwambie rafiki yako ajiunge na JF its free,aje aulize hilo swali,au kama ni wewe ndo unauliza sema unatumia care-off,why ufanye hivyo,mimba sio ugonjwa koku,kama ni ugonjwa mie na wewe tusingezaliwa(nimenukuu kwa mpoto)
 
Yeah. . .
Ila vizuri akarudia hata mara mbili kwa uhakika zaidi.
 
UPT = URINE PREGNANCY TEST... Akifanya hiyo atagundua kama ni mjamzito...
 
Nakuja unipime mke mwenza, nimebugi stepu (usimuambie wifi lao,lol)
Hahaha. Am waiting for you mke mwenza lol, mbona utakoma...kakake ashadii alivyo mkali sijui itakuwaje asee! Sitamwambia wifi lao itabidi iwe siri yetu wawili..
 
Mwambie aache Ngono Zembe! UKIMWI unaua na umeshaua watu wengi!

Baba Enocka! Kulikoni ? Umemshukia na munkar ! Mdada, mbona hapajaainishwa that preg is a result out of married ? Kama ni kitumbo cha babiewana au a husband to be ? Itabidi umtake radhi so far !
 
Back
Top Bottom