Kwa kweli video ya wimbo wa Diamond (Salome) ni nzuri Sana, ila kilicho niboa ni kuwa,hivi kulikua na ulazima gani wa kuvaa kinaijeria wakati ungeweza hata kuvaa kimasai kama ulitaka kuonesha utamaduni wetu,kwa nini uwatukuze wao. Hivi wao wanaweza kutoa video huku wamevaa kimasai kwa mfano.? Tanganza utamaduni wa nchi yako kwa ndo unako toka. Tuache ujinga.