Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Hapa ongeza nyama mkuukimaumbile mimi ni mrefu, mweusi na mwili wa kati.
Wacha wee 😊Picha basi mkuu,. Nikupe cousin wangu😍
Lina tokana na neno umbile(kimwili)Hapa ongeza nyama mkuu
Hayo yanazungumzika rafiki,.Huna kazi kumbe[emoji849] ok Kila la kher
I'm practicing lee jay, nita kwambia kitu😊.Hayo yanazungumzika rafiki,.
Mfikirie kijana wetu😑😄
Niambie niambieI'm practicing lee jay, nita kwambia kitu😊.
we wasemaHuna kazi kumbe[emoji849] ok Kila la kher
Bado mpaka mwezi fulani, mi mwenyewe muoga tu😄Niambie niambie
Sawasawa,. Wacha ni screenshoot hii niwe nakukumbushaBado mpaka mwezi fulani, mi mwenyewe muoga tu😄
Piga kwanza nyerohi naitwa intelli, waweza niita raisi wa ma jobless pro max.
"Looking for a genuine connection to a certain genuine Lady to build a meaningful relationship with"
Kiumri nina miaka 25, Mimi ni, mpole, mcheshi, rafiki, msikivu, nisiye penda makelele.
Sinywi pombe, sivuti sigara, bange au shisha.
Nina penda, kula, kutazama vipindi vya televisheni, kusoma vitabu, majarida.
Kimaumbile mimi ni mrefu, mweusi na mwili wa kati.
Reaching out to a lady (narudia a lady), mwenye umri kuanzia 22-30 who is a natural smiler, mwenye hulka ya kike, msikivu, mwenye heshima.
View attachment 3207657
hahaha, mimi sio part ya hio recipe mkuu.Piga kwanza nyero
sawa, ikawe kheriSawasawa,. Wacha ni screenshoot hii niwe nakukumbusha