Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #101
kaka mimi sio mzinzi, hapa penyewe niko nacheka Kuna mtu karejea site ya ma jobless akati ali tuita wanga😂Hizo genye dogo, tafuta pisi uchape utafuta huu uzi wako.
Bro you were absolutely right 😂😂.Wanaojali kazi watakuuliza tu huko PM hata kama umeandika hivi.
bro just preparing myself, kuelekea siku fulani.Nani kadukua account yakoo.. wewe huyooo 🥸🥸🥸
Heee, hii tabia Kama ya mama, utani kidogo tu. nyinyi mna tunza notes.We si uliniuliza shemeji kwa nani?
huyo ni chaguo lako 🤣😂Na utapata kama huyo
Ona hii kenge maji 😂🤣Nmebaki kufanya nini we boflo?
Hakuna kitu, jobless pro max....thubutuuuuu!!!!!Mimi nime kuuliza hiyo introduction kwa dating Ina faa??.
Sio kwamba natafuta mchumba bhana.
Beside niki taka nampata chap🤣😂, maana Kuna fixed.....
Aah wap umehama chama kakaKijana, hicho cheo kiheshimiwe. Mimi bado ni katibu mwenezi 😂😂
😅😅😅 Hayanaga ugumu hayo mambo . Umeisha jaa kwenye mfumobro just preparing myself, kuelekea siku fulani.
Beside naona .....🤣
Ni tabia yetu wanawake! 😂Heee, hii tabia Kama ya mama, utani kidogo tu. nyinyi mna tunza notes.
Haya shemeji, the blessed bridge binti kiziwi 😂
Sheria namba 3, kwenye kataa ndoa Ina semaje😂🤣Aah wap umehama chama kaka
niite raisi wa ma jobless pro max, haya mlete chap 😄Hakuna kitu, jobless pro max....thubutuuuuu!!!!!
mimi ni raisi wa ma jobless pro max, never shall I let my team down.Hapo kwenye ujobless utanikosesha wifi ujue, unaona kila mtu anashangaa hapo pafanyie kazi kwanza
JibuOna hii kenge maji 😂🤣
Picha zake unazo wewe kivip awe wangu.huyo ni chaguo lako 🤣😂
Nazimudu kwa umakini sanaBado wewe kuchanganyikiwa na dipresheni zako🤣
si uli nitambulisha kwake 😆 🤣Picha zake unazo wewe kivip awe wangu.