.........yaaaah!na kikubwa kabisa kwangu ni kwamba I NEED YOU GUYS TO BE THERE FOR ME!hasa hasa kwa send-off najua wengi mtakuwepo wale wa dar!.....
iringa najua ni wachache wameconfirm kwenda
TRUTH TAKES TIME
13/02/2010
''mambo yanaelekea KUIVA....''
tar 13/02/2010
MID-TOWN
MAKAMBAKO
tar 13/02/2010
MID-TOWN
MAKAMBAKO
KWENYE HIYO black-kadi kwa ajili ya watu wangu,i mean marafiki woote zitakuwepo sana tuWe will be there for you G.
Ila send off si kunakuwaga na limit pia ya watu wanaomsindikiza bwana harusi au???
ANGALIZO:
USILE TUNDA LA KATIKATI MPAKA SIKU YA NDOA KUANZIA LEO (unalipumzisha na upate kulimiss pia) NA KAMA HUJALIGUSA KABISA KABISA KABISA, NI VIZURI ZAIDI ila wewe sidhani kama utakuwa hujagusa mmmmh
ahsante baba-enokiAnd here is the truth:
NAKUTAKIA MAANDALIZI MEMA na KARIBU SANA KWENYE MATATIZO!
We will be there for you G.
Ila send off si kunakuwaga na limit pia ya watu wanaomsindikiza bwana harusi au???
ANGALIZO:
USILE TUNDA LA KATIKATI MPAKA SIKU YA NDOA KUANZIA LEO (unalipumzisha na upate kulimiss pia) NA KAMA HUJALIGUSA KABISA KABISA KABISA, NI VIZURI ZAIDI ila wewe sidhani kama utakuwa hujagusa mmmmh
karibu sanaCool I may or may not come!
ni swala la muda tu!Ni kujipanga tu naeza kuja huko bila tabu ndo raha ya kuwa "free free"
dah!labda sio G nimjuae....kala kitambo.
thanks!.........i mean SENKSI
yaah!harusi ni iringa.na wafuatao wamethibitisha kuunguruma mpaka unyaluni:
X-PIN
NEXT-LEVEL
FIDEL
nawakaribisha saaana wakuu wooote!
ni swala la muda tu!
let's take ningekuwa sijaonana na dada ake x-pin halafu nkakuona wewe mimi ningekuchukua jumla jumla(ningekuwowa)
...subiri nitakapoanza projekti ya second waifu!nikikuta uko free free NAMALIZANA NA WEWE!....(utani bwana)
fact!.....Pamoja sana.....homu boi........! Kama nivo kunong'oneza kule ''room'', tabidi logistics za waendaji zipangwe mapema sana......kuavoid last minute rushes na kuzima mioto kwa Petrol!
eeeh hakuna atakaeponyoka kwnye huo mchango walaahh...lol
halafu na wewe naona umekaa kimya tu!Yaani Goeff anakaba mpaka tunashindwa kuhema
Yaani Goeff anakaba mpaka tunashindwa kuhema
mchango wangu lini mpwaaaz?!....(imebidi nitumie nguvu sasa😀)so,,
JS ametumiss,
I miss you too,,
halafu na wewe naona umekaa kimya tu!
mimi wapwaaz mkunitosa sitawaelewa unajua?!...naona kimyaaaaaaa wakati unaona zimebaki siku 39