halafu na wewe naona umekaa kimya tu!
mimi wapwaaz mkunitosa sitawaelewa unajua?!...naona kimyaaaaaaa wakati unaona zimebaki siku 39
umekula senksi nyingine kwa namna unavyonong'ona!punguza sauti kiduchu mama!.....Tena I miss you more
Nikunong'oneze Kaizer, Hivi mtu akikumiss pia unamgongea senksi ama?
mchango wangu lini mpwaaaz?!....(imebidi nitumie nguvu sasa😀)
hhahahahaha!nani akutose mpwa mimi simekueleza msimamo wangu hata kwa kuwa 'wedding crasher' ntakusapoti hahaaaaa!!!
umeonaaaa eeeeeh khaa jameni twafaa!!! kuoa atake yeye sis tubanwe mbavu loh!!!uwiii cna mbavu, bht mckilize kijana jamani....anahesabu tu cku.
[/COLOR]
hhahahahaha!
wwewewe naona unakimbia majukumu!hahahaha
halafu na wewe naona umekaa kimya tu!
mimi wapwaaz mkunitosa sitawaelewa unajua?!...naona kimyaaaaaaa wakati unaona zimebaki siku 39
Tena I miss you more
Nikunong'oneze Kaizer, Hivi mtu akikumiss pia unamgongea senksi ama?
hahahahahaha!Ha!ha!hahaaaa...naona homu boi una nata na beat...kama mzee wa mapiano na mavirungu.......sijui unaenda na 1/2 au 3/4......Kaizer advise beat anayoendanayo jamaa......!
nani akutose mpwa mimi simekueleza msimamo wangu hata kwa kuwa 'wedding crasher' ntakusapoti hahaaaaa!!!
hahahahahah!uwiii cna mbavu, bht mckilize kijana jamani....anahesabu tu cku.
[/COLOR]
hahahaha!bht, please can u organize all ladies around here? I will organize the other side and then we have to meet to deliberate on this IMPORTANT issue!
sawa B? mambo lakini?
hahahaha!
mpwazzz toa akaunti namba kusimplifai mambo haswa kwa wapwazzzz wa mikoani.Naona wapwaaz weeengi sasa hivi wanaingia kama guests wanaogopa mchango!hahahahahahah
wapi x-pin
wapi nguli
wapi fidel80
hahahaha!mtaniua kwa kucheka
simu zenu ninazo
i will call you guys
mpwazzz toa akaunti namba kusimplifai mambo haswa kwa wapwazzzz wa mikoani.
umeonaaaa eeeeeh khaa jameni twafaa!!! kuoa atake yeye sis tubanwe mbavu loh!!!
BTW mimi harusi ndo itahusu.....na wewe pande ipi sasa???
]BIHECHITII[/COLOR] najua mwaka huu hatuumalizi lazima wakuchukue jumla jumla,
sasa usiponichangia...........!hahahaha.UNATENGANISHA UKOO
nackitika kwamba ctaweza kuhudhuria kabisa, majukumu mami na sie wengine ndio kama hivyo tena huwezi kujiendea tu kila mahali.
BIHECHITII ni bhtndio nni jamani wengine shazeeka...bht?