Ngoja niangalia uwezekano wa kulegeza masharti LOL
unajua ki ukweli kuna vitu vingine unaniminyia/katazia mie nakacrka mpaka bac....hapo nikikuambia ishu kama hii ya safari loo cpati pic, najua huwezi kubali milele...kweli nakacrikaga bac tu cna cha kufanya.
Ukikacrika ndo raha yangu iyo, tunaenda kumalizia kec chumbani! lol lakini kwa hili la mpwa G nitakupa ruhusa ee mama..si tutaenda wote😛
BIHECHITII najua mwaka huu hatuumalizi lazima wakuchukue jumla jumla,
sasa usiponichangia...........!hahahaha.UNATENGANISHA UKOO
HEHEHE!Geoff yangu siombi mchango ila ntaweka kiwango kwa kila mpwa itakuwa lazima kulingana na kipato na najua utachangia tu huwezi kuvunja ukoo!!!
BIHECHITII = BHT mwee mwaka huu Goeff wangu!!! ila bora hapo maana siku ile uliua bendi ukauza mpaka na eksitensheni lol!!
BIHECHITII = BHT mwee mwaka huu Goeff wangu!!! ila bora hapo maana siku ile uliua bendi ukauza mpaka na eksitensheni lol!!
bht, please can u organize all ladies around here? I will organize the other side and then we have to meet to deliberate on this IMPORTANT issue!
sawa B? mambo lakini?
Hahahahaha vp aliagiza mchemsho nn?
mpwazzz toa akaunti namba kusimplifai mambo haswa kwa wapwazzzz wa mikoani.
Eti ni mdogo kutokana na amount ambayo hao wanakamati wanakuwa wameshapanga. lakini most harusiz minimum ni 50k. less than that mmh mmh haungii
worry not binamu, hapa hachomoki mtu. kama unaona aibu kudai niajiri mimi nideal na wapwa wote, lazima tukupe shavu.halafu na wewe naona umekaa kimya tu!
mimi wapwaaz mkunitosa sitawaelewa unajua?!...naona kimyaaaaaaa wakati unaona zimebaki siku 39
yeah!worry not binamu, hapa hachomoki mtu. kama unaona aibu kudai niajiri mimi nideal na wapwa wote, lazima tukupe shavu.
hahahaha!
naona wapwaaz weeengi sasa hivi wanaingia kama guests wanaogopa mchango!hahahahahahah
wapi x-pin
wapi nguli
wapi fidel80
hahahaha!mtaniua kwa kucheka
simu zenu ninazo
I WILL CALL YOU GUYS
ni swala la muda tu!
let's take ningekuwa sijaonana na dada ake x-pin halafu nkakuona wewe mimi ningekuchukua jumla jumla(ningekuwowa)
...subiri nitakapoanza projekti ya second waifu!nikikuta uko free free NAMALIZANA NA WEWE!....(utani bwana)
hahahahaha!Hahaha! Kuanzia tarehe 31/01/2010 Namba zangu nabadilisha! Kuingia mfukoni unafikiri kitu rahisi?
Yani unaikana hivi hivi mbele ya kadamnasi Crispin sawa utaona!!!!
Yani unaikana hivi hivi mbele ya kadamnasi Crispin sawa utaona!!!!