Kwa msaada tu, game za real zinazokuja valencia, granada, sevilla, malaga. Game ngumu apo ni sevilla na kidogo kwa mbali ni valencia. Game ya sevilla inachezwa wakati madrid ameshajijua kama ameingia final au ameshindwa, hivo itakua ni ngumu kuipoteza.
Game za barca zinazokuja ni espanol, villareal, las palmas, eibar. Hapa game ngumu kwa barca ni espanol na villareal, kinachompa advantage barca kwa sasa ni kua ameshatolewa kwenye uefa, lakini haina maana ya kwamba izo game mbili ni rahisi kwake, siku akitoa droo tu basi madrid wanajihakikishia kombe ni lake.
Maana madrid pia ana kiporo Na celta vigo, iyo game sio ngumu kivile kwa madrid