Real Madrid mwisho wake leo! Mechi inatarajiwa kuanza saa 21:45

Real Madrid mwisho wake leo! Mechi inatarajiwa kuanza saa 21:45

DesertStorm

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2015
Posts
3,131
Reaction score
2,537
Poleni sana ma-fans wa madrid kwa goli 2 mlizopata last week kutoka kwa mkoloni,so mchezo ndivyo ulivyo, hakuna kitu kisichokua na mwisho, nina mengi ya kuwashauri lakini sina muda kwa sasa...nawatakia mchana mwema
 
We kama si mchawi basi uzeeni utakuwa mchawi
 
Poleni sana ma-fans wa madrid kwa goli 2 mlizopata last week kutoka kwa mkoloni,so mchezo ndivyo ulivyo, hakuna kitu kisichokua na mwisho, nina mengi ya kuwashauri lakini sina muda kwa sasa...nawatakia mchana mwema
 
13000163_1075680532455375_344536461744288717_n.jpg
 
Back
Top Bottom