man utd atatoka hapo?
Dah hakuna raha kama mkiwa na kioo 2po mtwara sehemu moja hakuna kioo na mic ueaf
kama Rooney na Chicharito :A S 39:
nemesis,
itakua man na madrid
Atakuwa yuko Moma huyu!!mtwara sehemu gani hamna kioo?ligula,chuno,magomeni, shangani,nabwada,bandari, rahaleo au wapi mzee??au mtwara vijijini?hapo mjini kila sehemu ina kioo...wewe tu...nenda koko beach pale,watu wanakata laga tu mida hii..teheteheeee
08 tuliwafunga barca kwenye semi final on the way to Moscow...! 09 wakatufunga kwenye final kwa hiyo ngoma iko tied sasa...!Kazi mnayo washabiki wa Man ure! Lazima mkalie wembley! Ya '08 lazma yajirudie...wapi teja.
,utakufa kwa ukimwi,hutumii kabsa mpira?lolmi na mambo ya mpira wala sipo!