Real Madrid v Barcelona-semifinal UEFA CHAMPIONSHIP

Kazi mnayo washabiki wa Man ure! Lazima mkalie wembley! Ya '08 lazma yajirudie...wapi teja.
 
Messi huyo!!..kudoz to Barca, naona leo The Special One&team hawajawika!!..
 
mtwara sehemu gani hamna kioo?ligula,chuno,magomeni, shangani,nabwada,bandari, rahaleo au wapi mzee??au mtwara vijijini?hapo mjini kila sehemu ina kioo...wewe tu...nenda koko beach pale,watu wanakata laga tu mida hii..teheteheeee
Atakuwa yuko Moma huyu!!
 
Kazi mnayo washabiki wa Man ure! Lazima mkalie wembley! Ya '08 lazma yajirudie...wapi teja.
08 tuliwafunga barca kwenye semi final on the way to Moscow...! 09 wakatufunga kwenye final kwa hiyo ngoma iko tied sasa...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…