Real Madrid Vs Juventis UEFA final

Umemaliza mjadala, Juve wana beki nzuri, ni ngumu saaana kwa timu yoyote kupata goali kwa Juventus, sio Madrid, sio Bayern sio Barca hata Chelsea.

Kitu pekee walichokosa wale watu ni winga za pembeni zenye kupumua, hivyo Juve atapaswa atengeneze washambuliaji wake vyema kabla ya mechi sababu Madrid kuna viumbe vitatu.

1. Casemiro
2. Ramos
3. Varane

Hawa watu wanajua kazi zao aiseee! Juve iwe makini ktk kushambulia na utengenezaji wa nafasi zake.
 
Kuichambua hii mechi yaitaji maelezo marefu sana ila kifupi sana ni kwamba Madrid ana nafasi kubwa kuchukua coz asilimia kubwa ya final alizocheza alishinda
 
Uongo
 
Mkuu unamzungumzia huyu huyu CR aliezifunga B.M,atletico,Valencia na jana Celta Vigo au ronaldo wa manzese?
Real Madrid ana kila sababu ya kuchukua kwa sababu wapo vizuri kuanzia beki(Ramos,Marcelo na Carvajal) viungo(Kroos,Casemiro na Mchawi Modric) hadi washambuliaji(CR,Benzema,Morata) bila kusahau supersub za kina James,Isco na Bale
 
Kaka
Bado tu unamuita Isco super sub kweli jaribu kuchek mechi za real Madrid za Uefa champion league Isco amekua akianza na matokeo watu wanayajua
Isco ni injini ya real Madrid kwa sasa ktk kiungo
 
Kaka
Bado tu unamuita Isco super sub kweli jaribu kuchek mechi za real Madrid za Uefa champion league Isco amekua akianza na matokeo watu wanayajua
Isco ni injini ya real Madrid kwa sasa ktk kiungo
Akili za Zidane si unazijua tena mkuu,Bale akipona tu utaona hiyo june 3 inacheza BBC huku Isco akiwa bench.
Ila Isco ni mashine hilo halina kipingamizi[emoji120]
 
Mkuu nakula maneno yangu sio kwa goli za Celta jana nmesahau hats nilichisema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…