Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Baada ya kipigo hicho cha kudhalilisha mithili ya mbwa koko aliyekunywa supu ya mgonjwa , Madrid wametolewa rasmi kwenye mashindano hayo
Bila shaka huu ndio mwanzo wa kuanguka kwa utawala wa timu za Laliga kwenye UEFA
Natabiri kocha wao Santiago Solari kutimuliwa
Bila shaka huu ndio mwanzo wa kuanguka kwa utawala wa timu za Laliga kwenye UEFA
Natabiri kocha wao Santiago Solari kutimuliwa