REAL MOTOR JAPAN, - Kuna mdau aliewahi kufanya nao Biashara hawa jamaa??

REAL MOTOR JAPAN, - Kuna mdau aliewahi kufanya nao Biashara hawa jamaa??

Shark

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2010
Posts
29,775
Reaction score
29,746
Wakuu,

Kuna gari nimevutiwa nayo, na katika kucheki mitandaoni nimewapata jamaa wa REAL MOTOR JAPAN. Sema kutokana na budget kutotosha nataka ni-risk kwa kukwepa "paytrade" charges, Kuna mdau aliewahi kufanya nao Biashara hawa jamaa?? Reliability yao wakoje? Utumaji wa mzigo ukoje? kuwahi au kuchelewa? kubadilishiwa mzigo? n.k.

Na pia nimewaona wengine nao wana jina kama hili lakini wao wanaishia na jr, yaani REAL MOTOR JAPAN Jr., sasa kidogo imenichanganya kuhusu haya majina. Hua naonaga watu (importers) wamebandika stickers za hawa jamaa, kwamba hayo magari wameyatoa huko, so kama kuna any mwana-jf ni mmoja wa hao customers wao please help.

Ahsanteni wakuu
 
Huyo jr jamaa yupo bongo we ukiwa unachati nae angalia ip yake kwa chini unaona kuna bendera ya tz ila hyo isiyo na jr ipo japan usi risk dolla zako kwa kuogopa charge ya usd 250
 
Mkuu kwani hujacheki hiyo gari beforward.jp? Naona nao wana reasonable prices sana na gari zao ziko mwake kinomaaa.
Sikatai ukiingia tradecarview kuna mikebe kibao ila lazima ujiweke safe kwa kulipia paytrade. La sivyo ni risk at your own

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom