Reaper binder

Reaper binder

Myaim

Member
Joined
Jun 20, 2023
Posts
15
Reaction score
2
msaada jamani ndugu zanguni wataalamu wa kilimo. nahitaji mashine ya kuvuna mpunga inaitwa power reaper bainder(inavuna nakufunga bando yenyewe)napata wapi na bei ? km inavyoonekana kwenye picha:
Screenshot_2023-07-09-15-17-31-290_com.miui.videoplayer.jpg
 
Wapi huko ambako hakuna kombaini tulete.
 
Asante Kwa ushauri ila wengine Sisi bado sio wazoef kuagiza nje na pia ttzo la mafundi kupatikana iwapo itaagizwa tofauti
 
Back
Top Bottom