Samahn mkuu nilikusudia ya kwangu mwenyewe nahitaji msaada napata WP?Wapi huko ambako hakuna kombaini tulete.
Upo mkoa gani?Samahn mkuu nilikusudia ya kwangu mwenyewe nahitaji msaada napata WP?
Nina sehemu mbili Bukoba na igungaUpo mkoa gani?
Tatizo la muafrika ni dharau.huwezi kutaka cha juu sana wkt hujafikaSasa hicho mpaka kimalize heka mia kitatumia siku ngapi
Anasahau Kwa miaka nenda Rudi tumekuwa tukifyeka Kwa mundu/ kikwakwa.Tatizo la muafrika ni dharau.huwezi kutaka cha juu sana wkt hujafika