Open policy or laziness? You are the only capitalist country not making serious progress economically. When you feel insecure you ask for the Americans to lend you a shoulder, so pathetic. Just own it, be sad pick yourselves up and move on. Tanzania is giving you nightmares, you'll learn to live with it.
Let them go to USA.after all,majority of Kenyans are working class.few,are the ones eating the national cake.
Sent using Jamii Forums mobile app
You are right. Majirani ndio wanaowaponza mngetamani mpakane na Uk au Germany.Israel watakua tu katika hali yetu, maana wataishia na nchi kame na kuzungukwa na majirani wazembe.
You missed the point, Malawi being poor and uses its hard earn cash to teach theirs doctors and nurse's only to be scooped na nchi tajiri kama UK sio sawa. Who is left to look after poor Malawians?First of all, Malawi is one of the poorest countries in the world. Mtu akikusikia ukiongea anaweza fikiri malawi ni first world country.
Kweli kabisa, hizo nchi tajiri wameweka mitego ya kimaisha kiasi kwamba atarudisha hiyo pesa yote ya mshahara kwenye mzunguko wa pesa.We unajifanya hamnazo, hivi hiyo mishahara mikubwa unaongelea kwa exchange rate au kwa kusustain maisha yake, so kwa akili yako ya kiutuuzima unafananisha na cost of living ya hapo kwenu Kenya na ya USA, kule rent ni kama mshahara wako wote wa mwezi, kuna bills nyingi mno, hiyo unayoona high salary kwa huyo citizen kwake ni barely enough.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni propaganda, unataka kusema wafanyakaz kutoka kenya wanafurika tz pia au vpItabidi uziunganishe Kenya, Rwanda, Uganda ndio zitoshane na Tanzania.
Kenya, zaidi ya nusu yake kame tupu lakini ndio inaongoza ukanda wote kiuchumi, tusingekua watu wa kujituma hii haingewezekana.
Tanzania ambayo ni kubwa kiasi cha hadi uunganishe nchi zote hizo ndio zitoshane nayo, actually Tanzania ni muungano wa nchi mbili, ina madini, gesi, vivutio bora vya utalii zaidi ya nchi zote Afrika, ardhi yenye rotuba kila mahali na mengine mengi lakini ndio maskini balaa, yaani ukanda wote huu Tanzania ndio nchi inaongoza kwa raia wake kuwa omba omba kwa nchi majirani
Life experience yako imefanana na Vasco DaGama, mvumbuziResearch yangu nimeifanya through life experience. Sawa endelea kuamini ulichokaririshwa na CCM eti Tanzania ndio nchi ya asali na maziwa. Ukweli ni kwamba Afrika hakuna pesa. Watu kama 30% ndio wanaenjoy maisha Afrika
Kabisa. Nyinyi sio size yetuYou are right. Majirani ndio wanaowaponza mngetamani mpakane na Uk au Germany.
Ni kweli, we are not, we are much better than you kiss assesKabisa. Nyinyi sio size yetu
Lazima uwache kufikiria kwamba kila mtu anayefanya kazi ulaya ni mtumwa. Bila hao watu kutuma pesa nyumbani, Kenya kungekuwa na umasikini kama ile ya Tanzania.
Hii ni propaganda, unataka kusema wafanyakaz kutoka kenya wanafurika tz pia au vp
Sent using Jamii Forums mobile app
Afu unajua ww unajisema ni mkenya ila ukiwa kwenu unamchukia huyo mdada kwasababu hajatokea kabila yenuMakampuni ya Tanzania inawataka sana Wakenya kwa ajili ya uchapa kazi wetu, sema tatizo nyie majungu full balaa, unaona hadi sasa mumeogopa kuruhusu vibali vya kazi mkurungezi mpya wa Vodacom TZ. Huyo mdada Mkenya amewanyima usingizi japo pia Vodacom wamesisitiza lazima iwe yeye tu basi.
Wewe unamaamisha eti Wakenya wanapata pesa kidogo wakiwa Marekani kushinda hapa Afrika? Wachanga upuzi saa zingine. Hapa Afrika hata ukiwa engineer mashuhuri huwezi lipwa zaidi ya dola elfu moja kila mwezi. Hapa Afrika hakuna pesa. Lakini Marekani utalipwa zaidi ya hio dola elfu moja kila mwezi hata kama kazi yako ni kuosha watu wazee mk*ndu. Marekani huwezi enda kisha ukarudi Afrika ukiwa masikini, pengine ukiwa mlevi au mtu wa gambling ndio utapoteza pesa yote lakini Wakenya wengi wanatuma pesa nyumbani na kununua mashamba na kujenga majumba.
Wachapa kazi kwa faida ya nchi yetu
- Waliopo ndani wamefanya makubwa na kuizidi nchi yenu kwa mbali
- Waliopo nje wanaongoza ukanda huu kwa diaspora remittances, sio kama nyie wazamiaji mnaobeba mabox huko nje hamna chochote mnarejesha kwenye nchi.
You missed the point, Malawi being poor and uses its hard earn cash to teach theirs doctors and nurse's only to be scooped na nchi tajiri kama UK sio sawa. Who is left to look after poor Malawians?
They chose to be blind when it comes to brain drain. With limited resources at home and corruption getting out of hand, their people are better off abroad than at home.Ahaaa haaa haaa
To Kenyans, the concept of brain drain is not clicking on their heads.
Ahaaa haaa haaa
You must be insane.
Hapo penye bold, Ningekuelewa ungesema walio ndani wamefanya makubwa kuliko mipango na malengo tuliojiwekea kwa mbaali.
Vinginevyo you are dumb.
With 44% of your population living below poverty line not being in the list isn't something you should be boasting about. The list has been criticized time and again for its poor source credibility. Another problem with the list is that if you are a capitalistic country, you automatically qualify for middle income which to me seems like a propaganda than something to be taken seriously. You are poor and weak, we both know that. You're hiding behind capitalistic propagandas forged by the Americans. IMF is brainwashing you. Your country can't stand against anyone without help from outside. Nairobi home to over 1 million kiberians ( the rest of the six million coming from Makadara and Co.) can't compete with Dar Metro but you keep lying to yourselves everyday saying Nai is in the same league as Dar. Have you seen Dar? Hehehe, there are no slums in dar. More than 83 percent of people living in dar are middle income ( this disqualify Nai from even being mentioned in the same sentence as Dar ). Americans are struggling with jobs as we are speaking because EU makes automobiles, China makes tech stuffs ( even Apple assembles parts from China ), are you talking about Lupitas Hollywood gig? They have a very strong currency but no jobs that's why Trump is introducing tariffs.We are the only capitalist nation within East and Central Africa not listed among the poor LDC countries like you, does that give you some education and food for thought?