Recap: Ni kosa la kiufundi CHADEMA kumchagua Freeman Mbowe ambae tayari ni mjumbe wa Kamati kuu mpaka kufa na kumuacha Tundu Lissu bila cheo chochote

Recap: Ni kosa la kiufundi CHADEMA kumchagua Freeman Mbowe ambae tayari ni mjumbe wa Kamati kuu mpaka kufa na kumuacha Tundu Lissu bila cheo chochote

Bezecky

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
494
Reaction score
897
Ni kosa kubwa na la kiufundi wajumbe wa mkutano mkuu wa Taifa kumchagua mtu kuwa mjumbe wa Kamati Kuu wakati Kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA yeye tayari ni Mjumbe wa Kamati kuu mpaka Kufa, hili Mbowe najua analijua.

Kumchagua Freeman Mbowe kuwa mjumbe wa Kamati kuu kwà mara ya pili ni sawa na kupoteza muda na Rasilimali pesa, ( matumizi fafifu ya akili )

Freeman Mbowe akishindwa ni kama kashinda Kwakuwa ataendelea kuwepo kwenye uongozi wa Tundu Lissu kama mjumbe wa Kamati Kuu mpaka afe, CHADEMA kwanini hamtumii akili zenu vema kuepusha hii mitifuano?

Freeman Mbowe kutaka ujumbe wa Kamati kuu kwà mara ya pili kwanza ni uroho wa madaraka pili ni matumizi mabaya ya akili na muda otherwise mnachangamsha chama.

Katiba ya CHADEMA inasema wazi Freeman Mbowe kama mwenyekiti mstaafu atakuwa mjumbe wa Kamati kuu mpaka Kifo chake sijui tamaa za nini,

Ushauri wangu, Wajumbe mchagueni Tundu Lissu kuwa mjumbe wa Kamati kuu Kwakuwa Freeman Mbowe tayari ni mjumbe wa Kamati kuu wa kudumu hata kama atapata kura sifuri ili kukipanua chama mkiwa na Lissu na Mbowe kwa pamoja kwenye Kamati kuu.

XxxxxxxX
 
Hakuna uchaguzi chadema.

Mmiliki wa saccos ashashinda hicho kiti. Lisu hana chake kwenye kikoba cha mwenyewe.
 
Lissu anashinda huo Uchaguzi kwa zaidi ya 80%
Viongozi wanaolipwa ndani ya chadema hawazidi 7 (kwa mujibu wa Lisu). Hivyo wengine wote wana njaa kama ya Somalia.

Kwahiyo mwenye saccos akinyoosha mkono wa heri wa wajumbe, usitarajie hao wajumbe watakumbuka masuala ya haki na demokrasia ktk uchaguzi.
 
Viongozi wanaolipwa ndani ya chadema hawazidi 7 (kwa mujibu wa Lisu). Hivyo wengine wote wana njaa kama ya Somalia.

Kwahiyo mwenye saccos akinyoosha mkono wa heri wa wajumbe, usitarajie hao wajumbe watakumbuka masuala ya haki na demokrasia ktk uchaguzi.
Wapigakura wa CHADEMA ni watu tofauti kidogo watatafuna mpunga na hata ona kura kabisa
 
Ni kosa kubwa na la kiufundi wajumbe wa mkutano mkuu wa Taifa kumchagua mtu kuwa mjumbe wa Kamati Kuu wakati Kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA yeye tayari ni Mjumbe wa Kamati kuu mpaka Kufa, hili Mbowe najua analijua.

Kumchagua Freeman Mbowe kuwa mjumbe wa Kamati kuu kwà mara ya pili ni sawa na kupoteza muda na Rasilimali pesa, ( matumizi fafifu ya akili )

Freeman Mbowe akishindwa ni kama kashinda Kwakuwa ataendelea kuwepo kwenye uongozi wa Tundu Lissu kama mjumbe wa Kamati Kuu mpaka afe, CHADEMA kwanini hamtumii akili zenu vema kuepusha hii mitifuano?

Freeman Mbowe kutaka ujumbe wa Kamati kuu kwà mara ya pili kwanza ni uroho wa madaraka pili ni matumizi mabaya ya akili na muda otherwise mnachangamsha chama.

Katiba ya CHADEMA inasema wazi Freeman Mbowe kama mwenyekiti mstaafu atakuwa mjumbe wa Kamati kuu mpaka Kifo chake sijui tamaa za nini,

Ushauri wangu, Wajumbe mchagueni Tundu Lissu kuwa mjumbe wa Kamati kuu Kwakuwa Freeman Mbowe tayari ni mjumbe wa Kamati kuu wa kudumu hata kama atapata kura sifuri ili kukipanua chama mkiwa na Lissu na Mbowe kwa pamoja kwenye Kamati kuu.

XxxxxxxX
Ni kweli Mbowe angebaki tu kama Mzee wa CHAMA
 
Ni kosa kubwa na la kiufundi wajumbe wa mkutano mkuu wa Taifa kumchagua mtu kuwa mjumbe wa Kamati Kuu wakati Kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA yeye tayari ni Mjumbe wa Kamati kuu mpaka Kufa, hili Mbowe najua analijua.

Kumchagua Freeman Mbowe kuwa mjumbe wa Kamati kuu kwà mara ya pili ni sawa na kupoteza muda na Rasilimali pesa, ( matumizi fafifu ya akili )

Freeman Mbowe akishindwa ni kama kashinda Kwakuwa ataendelea kuwepo kwenye uongozi wa Tundu Lissu kama mjumbe wa Kamati Kuu mpaka afe, CHADEMA kwanini hamtumii akili zenu vema kuepusha hii mitifuano?

Freeman Mbowe kutaka ujumbe wa Kamati kuu kwà mara ya pili kwanza ni uroho wa madaraka pili ni matumizi mabaya ya akili na muda otherwise mnachangamsha chama.

Katiba ya CHADEMA inasema wazi Freeman Mbowe kama mwenyekiti mstaafu atakuwa mjumbe wa Kamati kuu mpaka Kifo chake sijui tamaa za nini,

Ushauri wangu, Wajumbe mchagueni Tundu Lissu kuwa mjumbe wa Kamati kuu Kwakuwa Freeman Mbowe tayari ni mjumbe wa Kamati kuu wa kudumu hata kama atapata kura sifuri ili kukipanua chama mkiwa na Lissu na Mbowe kwa pamoja kwenye Kamati kuu.

XxxxxxxX
wasipo kusikia, watakaa sana kupata akili kama za Lissu siku za baadae na watu watawakimbia sana, we waache wachezee dhahabu kwenye tundu la choo kabla haijaokotwa na wengine ndio waje waseme, " Tungejua"... majuto siku zote ni mjukuu. Lakini tayari umekwisha waambia ni nini cha kufamya na wakimtosha ni kwamba hawamtaki hata huko chamani mwao. Ni likely Tundu, Dr Slaa na Mwabukusi watakuwa ni team ya kuotea mbali wakisajili hicho chama cha sauti ya Watanzania.
 
wasipo kusikia, watakaa sana kupata akili kama za Lissu siku za baadae na watu watawakimbia sana, we waache wachezee dhahabu kwenye tundu la choo kabla haijaokotwa na wengine ndio waje waseme, " Tungejua"... majuto siku zote ni mjukuu. Lakini tayari umekwisha waambia ni nini cha kufamya na wakimtosha ni kwamba hawamtaki hata huko chamani mwao. Ni likely Tundu, Dr Slaa na Mwabukusi watakuwa ni team ya kuotea mbali wakisajili hicho chama cha sauti ya Watanzania.
Aisee ni wasiposikia hii wamekwisha
 
Ni kosa kubwa na la kiufundi wajumbe wa mkutano mkuu wa Taifa kumchagua mtu kuwa mjumbe wa Kamati Kuu wakati Kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA yeye tayari ni Mjumbe wa Kamati kuu mpaka Kufa, hili Mbowe najua analijua.

Kumchagua Freeman Mbowe kuwa mjumbe wa Kamati kuu kwà mara ya pili ni sawa na kupoteza muda na Rasilimali pesa, ( matumizi fafifu ya akili )

Freeman Mbowe akishindwa ni kama kashinda Kwakuwa ataendelea kuwepo kwenye uongozi wa Tundu Lissu kama mjumbe wa Kamati Kuu mpaka afe, CHADEMA kwanini hamtumii akili zenu vema kuepusha hii mitifuano?

Freeman Mbowe kutaka ujumbe wa Kamati kuu kwà mara ya pili kwanza ni uroho wa madaraka pili ni matumizi mabaya ya akili na muda otherwise mnachangamsha chama.

Katiba ya CHADEMA inasema wazi Freeman Mbowe kama mwenyekiti mstaafu atakuwa mjumbe wa Kamati kuu mpaka Kifo chake sijui tamaa za nini,

Ushauri wangu, Wajumbe mchagueni Tundu Lissu kuwa mjumbe wa Kamati kuu Kwakuwa Freeman Mbowe tayari ni mjumbe wa Kamati kuu wa kudumu hata kama atapata kura sifuri ili kukipanua chama mkiwa na Lissu na Mbowe kwa pamoja kwenye Kamati kuu.

XxxxxxxX
Sawa
 
Ni kosa kubwa na la kiufundi wajumbe wa mkutano mkuu wa Taifa kumchagua mtu kuwa mjumbe wa Kamati Kuu wakati Kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA yeye tayari ni Mjumbe wa Kamati kuu mpaka Kufa, hili Mbowe najua analijua.

Kumchagua Freeman Mbowe kuwa mjumbe wa Kamati kuu kwà mara ya pili ni sawa na kupoteza muda na Rasilimali pesa, ( matumizi fafifu ya akili )

Freeman Mbowe akishindwa ni kama kashinda Kwakuwa ataendelea kuwepo kwenye uongozi wa Tundu Lissu kama mjumbe wa Kamati Kuu mpaka afe, CHADEMA kwanini hamtumii akili zenu vema kuepusha hii mitifuano?

Freeman Mbowe kutaka ujumbe wa Kamati kuu kwà mara ya pili kwanza ni uroho wa madaraka pili ni matumizi mabaya ya akili na muda otherwise mnachangamsha chama.

Katiba ya CHADEMA inasema wazi Freeman Mbowe kama mwenyekiti mstaafu atakuwa mjumbe wa Kamati kuu mpaka Kifo chake sijui tamaa za nini,

Ushauri wangu, Wajumbe mchagueni Tundu Lissu kuwa mjumbe wa Kamati kuu Kwakuwa Freeman Mbowe tayari ni mjumbe wa Kamati kuu wa kudumu hata kama atapata kura sifuri ili kukipanua chama mkiwa na Lissu na Mbowe kwa pamoja kwenye Kamati kuu.

XxxxxxxX
CHADEMA safari hii mtatoana macho bila ganzi
 
Aliyemtuma TAL agombee uwenyekiti Taifa alimtapeli 100%.
TAL hafai kuwa hata mjumbe wa kamati kuu,anavujisha siri za chama kwenda kwa msigwa!
Sasa akachunge punda Ikungi.
 
Kwa akili isiyohitaji kwenda shule,TAL anagombana na mwenyekiti aliyeko madarakani,wakati huo huo,anahitaji huo uwenyekiti🤣

Hawezi kuupata!
 
Ni kosa kubwa na la kiufundi wajumbe wa mkutano mkuu wa Taifa kumchagua mtu kuwa mjumbe wa Kamati Kuu wakati Kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA yeye tayari ni Mjumbe wa Kamati kuu mpaka Kufa, hili Mbowe najua analijua.

Kumchagua Freeman Mbowe kuwa mjumbe wa Kamati kuu kwà mara ya pili ni sawa na kupoteza muda na Rasilimali pesa, ( matumizi fafifu ya akili )

Freeman Mbowe akishindwa ni kama kashinda Kwakuwa ataendelea kuwepo kwenye uongozi wa Tundu Lissu kama mjumbe wa Kamati Kuu mpaka afe, CHADEMA kwanini hamtumii akili zenu vema kuepusha hii mitifuano?

Freeman Mbowe kutaka ujumbe wa Kamati kuu kwà mara ya pili kwanza ni uroho wa madaraka pili ni matumizi mabaya ya akili na muda otherwise mnachangamsha chama.

Katiba ya CHADEMA inasema wazi Freeman Mbowe kama mwenyekiti mstaafu atakuwa mjumbe wa Kamati kuu mpaka Kifo chake sijui tamaa za nini,

Ushauri wangu, Wajumbe mchagueni Tundu Lissu kuwa mjumbe wa Kamati kuu Kwakuwa Freeman Mbowe tayari ni mjumbe wa Kamati kuu wa kudumu hata kama atapata kura sifuri ili kukipanua chama mkiwa na Lissu na Mbowe kwa pamoja kwenye Kamati kuu.

XxxxxxxX
Sawa
 
Back
Top Bottom