BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
- Mwanaume usijimalize kama yule jamaa wa Mwanza, ni ujinga lakini tutaendelea kuelimishana
- Mwanaume ukijipenda...
Mwaka 2013 TV one palikuwa na kipindi kinaitwa Boys Boys kilichokuwa kinaongozwa na Mwisho Mwaipamba kipindi hicho kilibeba maudhui kuhusiana na maisha ya Mwanaume(men's lifestyle) kimsingi kilikuwa kipindi changu pendwa sababu Mabrother walikuwa wananifanya nitamani kuwa kama wao jinsi walivyokuwa wanavaa na kuongea very smart and intelligent.
Trust me hakuna furaha ya kweli kama mtu ukijipenda maana kupitia kujipenda uta attract wengi wakupende na kukuheshimu.
Kama Wanaume tumekuwa tunafeli inapokuja ishu ya kujipenda tunatumia nguvu na muda mwingi kuwapenda Wanawake na kujikuta tunasahau kujipenda mwisho wa siku wale wanawake tunaowapenda wanatuacha na kuwafuata wanaume wanaojipenda.
Mfano Mwanamke anakuomba hela ya kusuka elfu thelathini bila hiyana unatoa ila inakuwa ishu kwako kutoa elfu kumi kwenda barbershop.
Mimi nakazia tu.
1. Nenda Gym kama bajeti hairuhusu piga home workout tengeneza masculine body.
2. Viwalo saa hivi ni bei nafuu hakikisha unabadilisha nguo watu wasikukariri na nguo moja change style siku moja moja unapiga kipapaa.
3. Jadiliana na kinyozi wako juu ya style ya kunyoa inayoendana na kichwa chako ambayo itakufanya uonekane poa.
4. Accessories muhimu perfumes, cheni, saa, bracelet sio lazima viwe OG vinaweza kuwa fake vyenye muonekano wa kijanja.
5. Tembea, Mikao na kuongea kwa kujiamini sio unatembea mikono nyuma kama mfungwa onekana kama mtu mwenye mamlaka.
6. Kiatu kama ni cheusi hakikisha kweli kinangaa kama ni rangi tofauti basi kisiwe kimepauka
7. Jitahidi kula vizuri choma nyama, matunda, juice na usinywe vipombe vya buku na ikitokea hivyo basi usivinywe vikavu changanya hata na coke usije ukatengeneza sura ya kilevi.
8. Jitahidi kukaa mbali na wanawake ambao ni Totally dependent watakupa stress.
9. Angalia taarifa ya Habari, movie, comedy, series, tv shows, soma makala ili kuwa updated jinsi ulimwengu unavyoenda.
10. Jitahidi uwe na kijiwe chako kinachokupa pesa unaweza kumiliki bodaboda, taxi, daladala, au lori kutegemeana na uwezo wako.
11. Mwisho usikimbilie kuoa vuta muda atleast ukifika miaka thelathini na tano unaweza kufikiria kuvuta jiko.
- Mwanaume ukijipenda...
Mwaka 2013 TV one palikuwa na kipindi kinaitwa Boys Boys kilichokuwa kinaongozwa na Mwisho Mwaipamba kipindi hicho kilibeba maudhui kuhusiana na maisha ya Mwanaume(men's lifestyle) kimsingi kilikuwa kipindi changu pendwa sababu Mabrother walikuwa wananifanya nitamani kuwa kama wao jinsi walivyokuwa wanavaa na kuongea very smart and intelligent.
Trust me hakuna furaha ya kweli kama mtu ukijipenda maana kupitia kujipenda uta attract wengi wakupende na kukuheshimu.
Kama Wanaume tumekuwa tunafeli inapokuja ishu ya kujipenda tunatumia nguvu na muda mwingi kuwapenda Wanawake na kujikuta tunasahau kujipenda mwisho wa siku wale wanawake tunaowapenda wanatuacha na kuwafuata wanaume wanaojipenda.
Mfano Mwanamke anakuomba hela ya kusuka elfu thelathini bila hiyana unatoa ila inakuwa ishu kwako kutoa elfu kumi kwenda barbershop.
Mimi nakazia tu.
1. Nenda Gym kama bajeti hairuhusu piga home workout tengeneza masculine body.
2. Viwalo saa hivi ni bei nafuu hakikisha unabadilisha nguo watu wasikukariri na nguo moja change style siku moja moja unapiga kipapaa.
3. Jadiliana na kinyozi wako juu ya style ya kunyoa inayoendana na kichwa chako ambayo itakufanya uonekane poa.
4. Accessories muhimu perfumes, cheni, saa, bracelet sio lazima viwe OG vinaweza kuwa fake vyenye muonekano wa kijanja.
5. Tembea, Mikao na kuongea kwa kujiamini sio unatembea mikono nyuma kama mfungwa onekana kama mtu mwenye mamlaka.
6. Kiatu kama ni cheusi hakikisha kweli kinangaa kama ni rangi tofauti basi kisiwe kimepauka
7. Jitahidi kula vizuri choma nyama, matunda, juice na usinywe vipombe vya buku na ikitokea hivyo basi usivinywe vikavu changanya hata na coke usije ukatengeneza sura ya kilevi.
8. Jitahidi kukaa mbali na wanawake ambao ni Totally dependent watakupa stress.
9. Angalia taarifa ya Habari, movie, comedy, series, tv shows, soma makala ili kuwa updated jinsi ulimwengu unavyoenda.
10. Jitahidi uwe na kijiwe chako kinachokupa pesa unaweza kumiliki bodaboda, taxi, daladala, au lori kutegemeana na uwezo wako.
11. Mwisho usikimbilie kuoa vuta muda atleast ukifika miaka thelathini na tano unaweza kufikiria kuvuta jiko.