Ehee kwenye pita pita yangu mitandaoni. Ndo nikashangaa kabinti kako Kwa bibi U.K. Nimezoea ya wale wengine kuanzia kwenye ndege mpaka kitandani tungetupiwa tukio, mbona huyu mwana dada ambaye ana kipaji kizuri na star quality yuko private sana wa Bongoflava yake?
Note!
Note!