Ningekuwa mimi ndo huyo bilionea ningemfuata huko huko Kenya nikammalize badala ya kuhangaika na wanasheria. Atarudi ndani ya jeneza.RECHO TEMU AINGIA PABAYA
Jamani yaani tumbo la Uzazi hadi linanikata kwa kweli. Mwanadada mwenye makeke yake, Mdogo wa mwana diplomasia na Balozi wa Nchi yetu huko ughaibuni atamuua dada yake sasa maana hata huko polisi watamchoka kila siku ni majanga. Kwenye hili namshauri bidada akae mbali tu na Mdogo wake maana kaingia chaka tena chaka kweli kweli.
Ubuyu upo hivi, Kuna mwamba mmoja ni Tajiri na mahela yake mjini. Yani ana mihela halafu huwa haogopi kutumia kwenye jambo analolitaka.
Basi mmbea wangu kanitonya kuwa yule dada mwenye mdomo mrefu huko insta si kapata ubuyu kuwa Bilionea ana mtoto huko kaskazini kwa kina Joe Makini huko. Akajifanya FBI kama kawaida yake. Akafukunyua na kumtonya Mama watoto wa kifaru ili apate Ruzuku, sasa mbaya zaidi akatoa na Option kabisa ya kuinyofoa ile familia ya kule Chuga.
Katoto ka watu hakana hatia, Wakataka kuka Restisha in Peace bila Huruma. Sasa game likashtukiwa. House girl akagongwa nyundo ya ugoko, si akatema bungo, file lote akalidongosha Mezani, Watoto wa Wambura wakaingia kazini kimya kimya, Paap wakaruka na Shost wa Recho anayeishi huko Chuga ambaye alikua anadanga huko majuu akaolewa na mtasha wakarudi kuishi Chuga. Huyu bidada ndo alipewa kazi na Recho. Recho kusanda kuwa file limechomeshwa akakimbilia kwa Ruto huko Nairobi ame ji HIDE huko
Sasa Bilionea si akamuuliza alitumwa na bani akamjibu movumbovu, Jana akapost reels ya IG anamchamba fogo akijua ni kina Mange.
Kilichotokea sasa Fogo kafufua kesi za Recho Temu zote huko polisi zilizokua zinapotezewa na kaahidi kuweka mzigo kwenye kesi zote zinazomuhusu Recho mawakili wazisimamie.
Huko duniani kumechafuka amepostiwa mpaka na BBC anasakanywa. Kweli dada yetu 40 yake imefika mwisho. Tumuombee kwa kweli maana mambo ni motooooooooo! Yaani nachekea chooni hapa hadi nimejikojolea.
Wacha inyeshe tuone panapovuja.
-CHAUMBEA
View attachment 2449588
Kuna mtu wa arusha kwenye hiyo issue? Sijaelewa hata! Ila kwenye umbea hata wewe upo,ndiyo maana upo hapa unaperuzi umbea,sorry broWatu wa arusha wanajifanyaga wagumu, hip hop kumbe wapenda umbea tu.
Dina huyo fogoo ni nani?Bado
Hata sijui akiiDina huyo fogoo ni nani?
Waliopo kwenye app watujuze lazima mange kamtaja huyo tajiriHata sijui akii
Sijasoma hii kitu nimeona tu Arusha Arusha na comment za wadau kuwa ni umbea ndio nikajiuliza watu wa arusha si hip hop sana umbea vipi tenaKuna mtu wa arusha kwenye hiyo issue? Sijaelewa hata! Ila kwenye umbea hata wewe upo,ndiyo maana upo hapa unaperuzi umbea,sorry bro
Hajaelezea kirefu amesema siku nyingineWaliopo kwenye app watujuze lazima mange kamtaja huyo tajiri
Hivi ni wewe mwenyewe ndivyo jinsi ulivyo au ni profile picture (PP) tu [emoji848][emoji4]Mmmh BBC? [emoji848]
Hujui kuandikaRECHO TEMU AINGIA PABAYA
Jamani yaani tumbo la Uzazi hadi linanikata kwa kweli. Mwanadada mwenye makeke yake, Mdogo wa mwana diplomasia na Balozi wa Nchi yetu huko ughaibuni atamuua dada yake sasa maana hata huko polisi watamchoka kila siku ni majanga. Kwenye hili namshauri bidada akae mbali tu na Mdogo wake maana kaingia chaka tena chaka kweli kweli.
Ubuyu upo hivi, Kuna mwamba mmoja ni Tajiri na mahela yake mjini. Yani ana mihela halafu huwa haogopi kutumia kwenye jambo analolitaka.
Basi mmbea wangu kanitonya kuwa yule dada mwenye mdomo mrefu huko insta si kapata ubuyu kuwa Bilionea ana mtoto huko kaskazini kwa kina Joe Makini huko. Akajifanya FBI kama kawaida yake. Akafukunyua na kumtonya Mama watoto wa kifaru ili apate Ruzuku, sasa mbaya zaidi akatoa na Option kabisa ya kuinyofoa ile familia ya kule Chuga.
Katoto ka watu hakana hatia, Wakataka kuka Restisha in Peace bila Huruma. Sasa game likashtukiwa. House girl akagongwa nyundo ya ugoko, si akatema bungo, file lote akalidongosha Mezani, Watoto wa Wambura wakaingia kazini kimya kimya, Paap wakaruka na Shost wa Recho anayeishi huko Chuga ambaye alikua anadanga huko majuu akaolewa na mtasha wakarudi kuishi Chuga. Huyu bidada ndo alipewa kazi na Recho. Recho kusanda kuwa file limechomeshwa akakimbilia kwa Ruto huko Nairobi ame ji HIDE huko
Sasa Bilionea si akamuuliza alitumwa na bani akamjibu movumbovu, Jana akapost reels ya IG anamchamba fogo akijua ni kina Mange.
Kilichotokea sasa Fogo kafufua kesi za Recho Temu zote huko polisi zilizokua zinapotezewa na kaahidi kuweka mzigo kwenye kesi zote zinazomuhusu Recho mawakili wazisimamie.
Huko duniani kumechafuka amepostiwa mpaka na BBC anasakanywa. Kweli dada yetu 40 yake imefika mwisho. Tumuombee kwa kweli maana mambo ni motooooooooo! Yaani nachekea chooni hapa hadi nimejikojolea.
Wacha inyeshe tuone panapovuja.
-CHAUMBEA
View attachment 2449588
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mashetani yana gombana...
Mnapenda umbea sana Kuna ishu sijui wamama fulani wanagombana kisa biashara mambo ya mtaani kwenu wenzenu wanaleta humu..Acheni umbea !!Kuna mtu wa arusha kwenye hiyo issue? Sijaelewa hata! Ila kwenye umbea hata wewe upo,ndiyo maana upo hapa unaperuzi umbea,sorry bro
Huyo fogo ndio Le mbebez, mzee wa I'm humble you know?Dina huyo fogoo ni nani?