Recho Temu aingia pabaya

Ningekuwa mimi ndo huyo bilionea ningemfuata huko huko Kenya nikammalize badala ya kuhangaika na wanasheria. Atarudi ndani ya jeneza.

Mahakama zinapoteza muda. I don't believe in them.
 
Hii habari umeiwekea code nyingi kama tupo insta wakati hii ni jf ndomaana tunashindwa kuelewa
 
Hujui kuandika
 
Kuna mtu wa arusha kwenye hiyo issue? Sijaelewa hata! Ila kwenye umbea hata wewe upo,ndiyo maana upo hapa unaperuzi umbea,sorry bro
Mnapenda umbea sana Kuna ishu sijui wamama fulani wanagombana kisa biashara mambo ya mtaani kwenu wenzenu wanaleta humu..Acheni umbea !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…