Wadau ninaomba kuelimishwa juu ya kiwango cha kutambuliwa kwa vyeti vinavyotolewa na vyuo vilivyosajiliwa na wizara ya elimu au maliasili na utalii nk, Hapa nataka kutofautisha na vyuo vilivyosajiliwa na NECTA. Nawasilisha
Hi...napenda kufaham kati ya chuo cha st joseph na jordan vinavyopatikana mkoa wa morogoro ni kipi kimesajiliwa na nacte na nikizur kuanzia na certificate???
Hi...napenda kufaham kati ya chuo cha st joseph na jordan vinavyopatikana mkoa wa morogoro ni kipi kimesajiliwa na nacte na nikizur kuanzia na certificate???