Recommended to All Young Entrepreneurs-Watch This Kilimo Yetu Interview!

Nimeipenda hii

Ngoja nitaleta mrejesho
Hujapata uondo hata nusu! Kama umeangalia sana hukuzidi dkk 10 maana naona comment yako imekuja ndani ya dkk 10 baada ya hii clip ya dkk 37 kuwekwa hapa!

Kikubwa kingine kizuri katika hii interview; huyo Jerry Mruma ni Mtanzania kutoka hapa Dar-Upanga. Sikiliza dkk ya 33 kuanzia sekunde ya 38:

 
Thanks Kimasha! Fantastic! neno moja tu napenda kuwahusia ndugu kama alivyosema Jerry! REGISTER YOUR BUSSINESS! mimi imewahi nikumba nilikuwa na wazo na nikamuuzia mtu chachapu akalinunua aliponiomba papers nikaanza oh oh oh! akachapa mwendo!
 
nilikuwa na hii clip mda mrefu and today ndo nimejikuta naiangalia.
Vere interesting huyu dogo wa upanga.
Ila nimejiuliza kwa nini asirudi huku Tz mashamba mengi sana?
Bado najiuliza naona kama sipati majibu
Yawezekana dogo anaona huku longo longo sana
au labda kashazoea mazingira ya Kenya na connection ambazo ashazipata mpaka sasa ndo maana hataki rudi........
..........???????????!!!!!!!!!!!
 



Samahani mkuu hekimatele kwa usumbufu, just some tips naomba unielezee huyo dogo amezungumza nini, naona u-tube inanizingua.
 
Last edited by a moderator:

Nasikia huyu dogo alikufa kenya, sijui hili swala liliishia wapi
 
[video=youtube_share;EMuS8Ab0_fY]http://youtu.be/EMuS8Ab0_fY[/video]

BURIAL CEREMONY OF THE LATE JERRY ISAAC MRUMA, THE TANZANIAN STUDENT WHO WAS MURDERED BY THUGS IN NAIROBI, KENYA.

RIP Jerry
 
Samahani mkuu hekimatele kwa usumbufu, just some tips naomba unielezee huyo dogo amezungumza nini, naona u-tube inanizingua.

same to me Yotube inagoma toka juzi .. othrwise naombeni direct link.
 
Last edited by a moderator:
Samahani mkuu hekimatele kwa usumbufu, just some tips naomba unielezee huyo dogo amezungumza nini, naona u-tube inanizingua.

Dogo amezungumzia suala la kilimo cha kisasa (greenhouse farming) na idea yake aliyoianzisha ya agribonds. Anauza bonds za kilimo zinazomature in a year. nia yake ni kukusanya fedha za kufinance hicho kilimo na kuwapa investors hado 30% returns on their investments (agribonds)
Its a briliant idea and I have already heard it in Tz
Nasikia kuna waisraeli wanajenga sana green house hapa bongo.
ukitaka kumsoma zaidi ametoa web yake inaitwa
www.kilimoyetu.com
sijapata mda wa kuicheki hiyo web but you can try
The kid looks focused and he knows what he does. Ana ambitions kubwa sana at the age of 23 sasa hivi anasema anataka kuingia forbes at the age of 28. so he is working his way up there.
Sorry i responded late
make sure you watch that interview on yutyubu
 
Mkuu hekimatele, huyu dogo aliuwawa tangu mwaka jana huko Nairobi, alitoka kwenye party ambapo alikua MC, wahuni wakamteka wakamnyonga...

RIP brother jerry.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hekimatele, huyu dogo aliuwawa tangu mwaka jana huko Nairobi, alitoka kwenye party ambapo alikua MC, wahuni wakamteka wakamnyonga...

RIP brother jerry.

Ni njama za kuzima ndoto kubwa aliyonayo au walidhani dogo alikuwa threat kwenye agri industry?
Au kavamia demu wa mtu?
Mbona inanisumbua kuielewa hii kitu?
Serikali ilifuatilia kweli?
 
Dooh, nimesikia interview yake nikawa na hamasa sana, nasoma chini naona picha za mazishi yake. Kweli Wema Hawana Maisha.
RIP Jerry
Umeniachia hamasa katika kilimo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…