Record: Kipa aliyedaka penalties 3 kwenye derby ya Kariakoo

Record: Kipa aliyedaka penalties 3 kwenye derby ya Kariakoo

Still Yanga imecheza vizuri nakuonyesha maana ya mpira! Burudani ipo yanga huo ni mwanzo next time hamtaamini macho yenu
 
hivi fainali iliyofanyika Zanzibar ya Africa mashariki( cecafa) Mwameja alidaka penati ngapi?
 
Ally Salum ameweka record mbele ya kipa aliyepewa kila aina ya sifa lakini hata hivyo amekwama kwa kutobolewa vitatu huku kipa wa Simba akizuia mikwaju mitatu ya moto.

Tunzeni record hii
Tunzeni record hii[emoji173][emoji419][emoji375]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mjinga tu, mwenye akili za kiccm ambaye ndio aliamin kua Leo Yanga anashinda.
1691987039519.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom