homeless1
JF-Expert Member
- Sep 24, 2020
- 427
- 950
Katika hii misimu mitatu ambayo simba kafika robo fainali namaanisha msimu wa 2018/2019 ,2020/2021 na huu 2021/2022 yote team walau ilifanya vizuri ugenini na baadhi ya matokeo ni haya
Simba Sc dhidi ya Mbabane swallows, Simba alimpiga Mbabane goli nne bila ugenini
Simba Sc alishinda 1 bila ugenini dhidi ya plateau Fc ya Nigeria
Simba alishinda dhidi ya As Vita, pale Congo DRC tena baada ya figisu kibao
Simba alitoa droo ya bila kufungana na Al Hilal ya Sudan
Simba alishinda 2-0 kule Botswana dhidi ya jwaneng galaxy
Simba alitoa droo dhidi ya Al Masry kule Egypt mechi iliisha 1-1
Simba alipata droo dhidi ya USGN ambayo kwa hakika ndo iliompeleka robo fainali msimu huu
Haya matokeo ni mengi kiasi kwamba yanatosha kusema Simba Sc inaweza kupata matokeo nje ya uwanja wa mkapa kwa sababu kuna matokeo ambayo alipoteza uwanja wa mkapa mfano ni marudiano dhidi ya Jwaneng Galaxy ambayo leo hii naona kama yana msaada kwa Simba Sc ambayo Mimi kama shabiki wa Simba toka tupate yale matokeo nmeona viongozi na benchi la ufundi limeanza kufikiria jinsi ya kulipata hili kombe mawazo ambayo ni makubwa ambayo pengine tusingeyawaza kule klabu bingwa
NB; Simba anapata matokeo ugenini sema anautumia vizuri zaidi uwanja wa Benjamin Mkapa
Simba Sc dhidi ya Mbabane swallows, Simba alimpiga Mbabane goli nne bila ugenini
Simba Sc alishinda 1 bila ugenini dhidi ya plateau Fc ya Nigeria
Simba alishinda dhidi ya As Vita, pale Congo DRC tena baada ya figisu kibao
Simba alitoa droo ya bila kufungana na Al Hilal ya Sudan
Simba alishinda 2-0 kule Botswana dhidi ya jwaneng galaxy
Simba alitoa droo dhidi ya Al Masry kule Egypt mechi iliisha 1-1
Simba alipata droo dhidi ya USGN ambayo kwa hakika ndo iliompeleka robo fainali msimu huu
Haya matokeo ni mengi kiasi kwamba yanatosha kusema Simba Sc inaweza kupata matokeo nje ya uwanja wa mkapa kwa sababu kuna matokeo ambayo alipoteza uwanja wa mkapa mfano ni marudiano dhidi ya Jwaneng Galaxy ambayo leo hii naona kama yana msaada kwa Simba Sc ambayo Mimi kama shabiki wa Simba toka tupate yale matokeo nmeona viongozi na benchi la ufundi limeanza kufikiria jinsi ya kulipata hili kombe mawazo ambayo ni makubwa ambayo pengine tusingeyawaza kule klabu bingwa
NB; Simba anapata matokeo ugenini sema anautumia vizuri zaidi uwanja wa Benjamin Mkapa