Record za Mayele msimu huu zinatisha

Record za Mayele msimu huu zinatisha

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Mayele mpaka sasa kacheza mechi 18 kwenye mashindano yote msimu huu.

  • Amefunga mabao 17.
  • Ana 'assist' 4.

Huyu mwamba mwaka huu anaweza kuweka rekodi mpya ya upachikaji wa mabao. Maana ligi haijafika hata katikati, FA haijaanza, Mapinduzi Cup bado haijaanza, Shirikisho ana michezo 6, huyu ni tishio Afrika kwa sasa.

Halafu hana bao la penati hata moja duh!
 
Mayere mpaka Sasa kacheza mechi 18 kwenye mashindano yote msimu huu.

Amefunga mabao 17
Ana assist 4
Huyu mwamba mwaka huu anaweza kuweka record mpya ya upachikaji wa mabao.

Maana Ligi haijafika hata Kati Kati FA haijaanza, mapinduzi cup Bado haijaanza shirikisho ana game 6 huyu ni tishio africa kwa Sasa.

Ngada FC Watakuja kupinga hadi statistics.
 
Makolokolo/Mbumbumbu/Malalamiko/Makelele/Kolowizards/Ngada FC wasipokupopoa kwa matusi na kejeli za bahasha nipigwe ban ya maisha nimekaa pale [emoji117][emoji143]
 
Mayere mpaka Sasa kacheza mechi 18 kwenye mashindano yote msimu huu.

Amefunga mabao 17
Ana assist 4
Huyu mwamba mwaka huu anaweza kuweka record mpya ya upachikaji wa mabao.

Maana Ligi haijafika hata Kati Kati FA haijaanza, mapinduzi cup Bado haijaanza shirikisho ana game 6 huyu ni tishio africa kwa Sasa.
Binafsi namuombea heri. Hakika amewaziba midomo wale waliokuwa wakitukejeli na wale wachezaji wetu akina Yikpe na Sarpooong!!!
 
Back
Top Bottom